Habari zenu nyote wana jukwaa kimatumizi ya mtandao sio mzuri saana,lakini nimeshawishika kuleta ombi langu kwenu ili niweze kupata jibu litakalo niwezesha kufanya maombi ya TIN kwa ajili ya kampuni yangu nilio isajili hivi karibuni.
kwa yeyote anaweza kunipa muongozo masuala ya kodi yanakua je...
Acha utumwa ndugu amka sasa sinto shangaa siku ukamponda mzazi wako wewe umeona ni Tanzania tu ndio isio kuwemo Japani,Canada,Afrika kusini,Venezuela,Ureno na nyingine nyingi hizo hushangai jifunze kusifia chako.
Habari zenu wana Jf,naombeni ushauri jinsi yakupata mtaji nimesajili kampuni ya ucontractor wa umeme sina cheti cha CRB maana masharti yao ni ya matajiri akina fulani sidhani kama tutaweza kujiajili naomba mawazo yenu.
habari zenu nyote wana Jamiiforums.
niniomba kwa yeyote anaeweza kunipa taratibu maana nilisha sajili jina la biashara,lakini sasa nataka iwe kampuni yenye ukomo ltd tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.