Recent content by Me I and my self

  1. Me I and my self

    PreGE2025 Vijana CCM waitisha press kumjibu Gwajima, wataka avuliwe uanachama

    Ukitaka kujiunga ccm unahitajika usiwe na akili kwanza ndio unajiunga.
  2. Me I and my self

    PreGE2025 Mbunge wa Busega Simon Lesengekile ataka Kariakoo Dabi ibadilishwe jina na kuitwa Samia Dabi

    Mbona watu wa kanda ya ziwa tuna akili mingi, huyu mpumbavu katokea wapi..?
  3. Me I and my self

    Jionee tofauti ya Miradi kati ya Jeshi la Ethiopia na Jeshi la Tanzania

    Hatujui hata hili ni jeshi la wananchi gani...?
  4. Me I and my self

    Ma brother wa miaka 35+ hebu tupeni wadogo zenu, ushauri wowote wa kuhusu maisha

    Nakushauri usiwe na mawazo ya kiboya ya kutafuta pesa tengeneza channel ya pesa, pesa iingie yenyewe
  5. Me I and my self

    Tunafanya ujenzi bora wa nyumba

    Nipe sample ya Epoxy Floor
  6. Me I and my self

    Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

    Hiyo ni kesi ya wewe na mpangaji wako inamaana ni kesi kama ya madai, nenda moja kwa moja mahakamani.
  7. Me I and my self

    Rais Samia anawezaje kujenga SGR kilometa 1,063 kwa TZS 10.1T na SG kwa TZS 6.55T?

    Vigae vya sakafu bei ni mkasi si mchezo bidhaa zinapenda bei, Fikiria tiles mfano 40×40 inatoka 33,000 inapanda mpaka 45,000. Halafu kuna mwingine anaimba mapambio.
  8. Me I and my self

    Unapokuwa chooni peke yako huwa hauwi peke yako

    Nenda sasa kanye vichakani
Back
Top Bottom