Maandamano sio haki kikatiba?fanyeni utaratibu wa kuondoa kipengele hiki kilichopo ktk katiba,Uhuru Kenyatta juzi tuu katufundisha alivyokomaa,aliondoa police wakati NASA wanaapishana ili kuondoa uvunjifu wa amani ambao ungeweza kutokea,by the way wenzetu maandamano yanafanyika na police wapo...
CCM,Bunge,Vyombo vya usalama vimepoteza dira,udikteta umetamalaki,tunasubiri nyalandu aanze kusakamwa kama wapinzani wengine na kumiminiwa risasi kisha waseme watu wasiojulikana kumbe ni CCM
Dar es salaam,Iringa,Ruvuma na mikoa mingine mliopata adha ya kubomolewa nyumba zenu 2020 ndio wakati sahihi wa kutoa majibu yenu kwa pamoja....CCM oyeeeee....mwanza oyeeeeeee....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.