Recent content by mduirwa

  1. M

    msaada yangu tecno haionyeshi mafail

    simu yangu haionyeshi mafail ukiiwasha inaleta maandishi yafuatayo "Hi there" halafu chini yake START
  2. M

    Msaada, maumivu ya kifua

    na kipindi cha barid hasa usiku nd kinauma xana
  3. M

    Msaada, maumivu ya kifua

    kifua kuuma wakati huo kukohoa sikohoi na maumivu huwa nayasikia pindi nikiwa nimekaa nimetulia lakini wakati na kazi au busy huwa siyasikia na titi la kuxhoto huwa panauma na mara pengine mkono wa kuxhoto na ukikandamiza kifua kwa nguvu kinauma. tafadhar anayejua dawa ama aina ya ugonjwa...
  4. M

    Tatizo gani husababisha tumbo kuuma baada ya kufanya mapenzi?

    Naombeni msaada, ni kwa nini tumbo linauma baada ya kufanya mapenzi na je tiba yake ni nini?
  5. M

    Jino lako linakusumbua!

    daaa me nipo dodoma
  6. M

    Jino lako linakusumbua!

    mwenye kujua dawa nzuri ya jino anisaidie maana linauma xana
  7. M

    Msaada: Tecno H5 nikiwasha Data inadownload Mafaili yenyewe

    simu yangu nikiwesha data inakuwa inajidownload mafile yenyewe na mengine hutokea kwenye screan kama yoyogame na mengine mwenye uelewa anisaidie
  8. M

    Msaada: Jinsi ya ku hack simu ya mkononi

    kama ipo namna ndo mfunguke sasa ili tupate maujuzi na sisi, sio mnasema ipo alafu hamuelekezi jinsi ya kufanya
  9. M

    Msaada: Jinsi ya ku hack simu ya mkononi

    hamna kitu kama hicho
  10. M

    Msaada: Jinsi ya kuchukua screenshot

    kwa watu wa tecno inakuwaje hapo
  11. M

    Tecno yangu H5 imecollapse launcher, mwenye uelewa anasaidie

    maelezo mazuri but bado nashindwa jinsi ya kufanya
  12. M

    Tecno yangu H5 imecollapse launcher, mwenye uelewa anasaidie

    nikiiwasha hakun hata faili moja linaloonekana zaidi inaniandikia "unfortunately, launcher has collapsed" so hakun zaid kinachoendelea na hayo maneno hayatoki kwenye screen
  13. M

    Tecno yangu H5 imecollapse launcher, mwenye uelewa anasaidie

    mwenye uelewa jamani maana haifanyi kazi yoyote na nimejaribu kuiflash lakini bado tu inakataa
Back
Top Bottom