jaribu kufanya factory hard reset . . alaf je simu ilikuwa rooted?
umeflash? kama umeflash laiuncher ni kitu kidogo ilitakiwa irudi. hebu eka maelezo zaidi ikiwaka inakuaje ilikuwaje ikaanza hivyo nk
holding the Vol +(up) Button then the Power Button.
-Use the Volume +(up) to Navigate to Recovery Mode and Press the Vol (down) button to select
-Tab the Power Button once to get the options Use the Vol (Down) Button to Navigate to Wipe Data/Factory Reset.. Use the Vol + (Up) Button to Select.. Use the Vol (Down) Button to Navigate to Yes delete all user data.. Use the Vol + (Up) Button to Select..
-Navigate to Reboot Phone.. Then Wait because it takes sometime to boot for the First Time
Remember to switch off before this process
mwenye uelewa jamani maana haifanyi kazi yoyote na nimejaribu kuiflash lakini bado tu inakataa
ndio nlikuwa nimeiroot