mwenye kujua dawa nzuri ya jino anisaidie maana linauma xana
mkuu ninayo dawa ya kienyeji nitakupa bure kabisa, kwasasa nipo mwanza kama nawe upo huku tutafutane mkuu pole kwa maumivu
chemsha ndulele acha ipoe then sukutua usiku kabla ya kulala usimeze chochotw baada ya hapjamani msaada mwenye kujua dawa ya jino
Pole sana, dawa ni kung'oa au kama halijaharibika sana unaweza fanya root canalbaada ya hapo daah nateseka mimi yani nishatoa meno ma wili na ili la tata ata miaka 23 bado
jamani msaada mwenye kujua dawa ya jino
Ntaipata wapi hii mkuu? Bei jeepole sn kaka,pia anza kuswaki kwa dawa inayoitwa SENSODYNE, kuanzia leo,mimi nilikuwa mhanga wa meno,nikang'oa meno sita,toka nimeanza kutumia dawa hiyo leo miaka mitano,sijasikia wala kuhisi maumivu ya meno,tumia hiyo kisha ulete mrejesho kesho apa janvini,Asante.
Super marketNtaipata wapi hii mkuu? Bei jee
Jinsi ya kutumia?Tumia Mikojo, hutibu Maumivu ya meno milele na milele., mm ilinsaidia sana



Ok , Hujataja bei mkuuSuper market