Nimemchana anachofanya sio poah angekua anakupa credit aisee ...... Kwa hyo hapo anaenda kujivutia pesa kiulain kwa kila kichwa 2500 telegram[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa ndotoni unaota upo choon unataka kukojoa ' USIKOJOE' ni mtego utanishukuru baadae(in late JPM's voice)!!
#mwanaume anatumia akili za kichwa(smartness upstairs) na sio akili za kichwa cha chin!!
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
[emoji109][emoji109] kama kafa tuone death certificate kwanza
Baada ya hapo tuonyeshwe kabur
Then tunavunja kabur tufanye forensic analysis tujihakikishie kama ni yeye!!!
Kauli yetu mbiu ni ile ile 'HAKUNA KUOA' ni kupiga kazi kutafuta pesa izi mbususu ni kufuata bei elekezi na kuzichakata...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]sana mzee nakazia mzee #respect na namuomba Liverpool VPN aseme kitu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watu naona toka juu wameuliza sana ila naona analipotezea kiaina kama halion vile we jarib kufuatilia toka juu kuna kitu utagundua
Mwanaume anaweza kukaa na mwanamke asiye na kitu kwa amani na furaha ata miaka kumi ila upande mwingine masaa 24 tu [emoji38][emoji38][emoji3][emoji38][emoji38] ngumu kumeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.