Recent content by Mdudu halisi

  1. Mdudu halisi

    GE2020 Tundu Lissu aendelea na kampeni katika viwanja vya Bank, Mombo Korogwe vijijini na viwanja vya Mwanjani Tanga

    Huyu ndiye Rais tuliyependezwa naye, achana na yule mgonjwa anayewekewa feni mpaka kwenye paa la gari yake.
  2. Mdudu halisi

    GE2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

    Hakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu. Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.
  3. Mdudu halisi

    GE2020 Dkt. Magufuli: Jina Langu Lipo Namba Moja, Usihangaike Kuangalia Kwingine

    Mimi ni mtumishi wa umma. Kura yangu siwezi kuipeleka kwa kiongozi dhalimu aliyenitesa kwa miaka mitano. Nasema hadharani kwamba nitamchagua Tundu Lissu kwa maendeleo ya kweli. Huyo dikteta akalime nyanya chungu huko Geita.
  4. Mdudu halisi

    Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 zimemetawalia na 'Tume VS Tuta'

    Meko ndo anakumbuka leo kwamba watumishi wa umma wanapaswa kupewa nyongeza ya mshahara. Kiburi chote kimeisha. Watumishi wamemhakikishia kwamba hawahitaji nyongeza toka kwake bali wanataka wajazwe mapesa na rais ajaye ambaye ni Tundu Lissu. Meko na ushamba na udhalimu wake akafie mbele huko.
  5. Mdudu halisi

    GE2020 Ujenzi wa daraja jipya la Wami wafikia 45%

    Tumeamua kumpa dhamana Tundu Lissu. Huyo mjenga madaraja aende kwao tu.
  6. Mdudu halisi

    Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

    Hakuna mgombea wa CDM aliyeshiriki kwenye uchaguzi huu haramu. Sema majina ya wagombea hao hayakuondolewa kwenye karatasi za kura kwa kuwa wagombea hao wachache waliteuliwa kwa sababu maalum (yaani ionekane kwamba CCM imetenda haki)
  7. Mdudu halisi

    Rais Magufuli aagiza Tsh. Bilioni 40 zitumike kulipa madeni ya Wakulima wa Korosho baada ya Serikali kununu Korosho hizo

    Hii serikali ya ni ya kisanii tu. Wanapenda kujimwambafy wawapo majukwaani ili kupata attention ya wananchi. Nimepata taarifa toka kwa kigogo mmoja kwamba zile bilioni 40 zilizotangazwa kwa mbwembwe kwamba zikakamilishe malipo kwa wakulima wa korosho hazikupelekwa kama ilivyotamkwa, bali ni...
  8. Mdudu halisi

    Askofu Dr Stephen Munga amuonya Kadinali Pengo: Kunyamaza wakati mwingine ni hekima

    Huyo Kawe Alumni ni ule mchepuko wa Bashite yaani namzungumzia Cocoa Channel.
  9. Mdudu halisi

    Kiongozi wa Kanisa la Shield of Faith Christian Fellowship Askofu Mulilenge Mkombo anashikiliwa tangu January 19 mwaka huu bila kufunguliwa kesi

    Miaka kadhaa huko nyuma, matukio kama haya tulikuwa tunayasikia kwenye vyombo vya habari yakiwa yametamalaki nchini Rwanda lakini leo hii yako sebuleni kwetu. Hivi Luna umuhimu wa kuendelea kuwa na kiongozi asiyejali utu kama Jiwe?
  10. Mdudu halisi

    In defense of Spika Ndugai

    Ndugai ni kipaza sauti cha Jiwe. Ameamua kupambana na yeyote anayehatarisha kibarua cha bwanake.
  11. Mdudu halisi

    Membe jiandae kisaikolojia

    Hakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
  12. Mdudu halisi

    Kilichotokea Mbeya ni ishara ya makamanda kuchoka kuendelea kuwa watumwa wa Mbowe

    Huyu mbwiga hajawahi kusomeka hata siku moja. Ni mpiga zumari fulani hivi wa Lumumba.
  13. Mdudu halisi

    MBEYA: Rais Magufuli ahutubia wananchi Uwanja wa Ruanda Nzovwe. Agusia usajili wa laini na machinga

    Hats kuandika huwezi. Hivi "alizaluwaje" ni neno la kiswahili?
  14. Mdudu halisi

    Huu ndo utakuwa mchuano mkali 2020, CCM watakuwa Kitonga wakiserereka!

    Hakuna mtanzania yeyote mwenye akili timamu anayempenda Jiwe. Kama mnabisha, mwambieni aruhusu mikutano ya viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa waende kuzungumza na wananchi kama afanyavyo yeye hata kwa siku moja tu halafu muone watanzania watakavyofunguka. Mnapenda kumpamba kwa sifa za...
Back
Top Bottom