Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 zimemetawalia na 'Tume VS Tuta'

kakuruvi

JF-Expert Member
Sep 2, 2009
770
256
Nimefuatilia mikutano ya kampeni za uchaguzi na kugundua kwamba pamoja na ilani zinazotangazwa na vyama ambazo ndio dira ya yajayo, lakini kikubwa na kinachotofautishwa na vyama hivi ni kauli za ''TUMEFANYA'' na ''TUTAFANYA''

Kwa wale wenye kuelewa kati ya hizi kauli mbili moja ni rahisi kuikubali kwa sababu unaweza kuwa umeona hicho kinachosemwa tumefanya ni rahisi kukubali na kuunga mkono kwa kuwa uthibitisho upo.

Hii kauli ya pili tutafanya ina mambo mengi na tutangulize Mungu akipenda kwani lolote laweza kutokea ikiwemo mabadiliko ya tabia ya nchi, mabadiliko hali ya uchumi wa Dunia na siasa za mataifa mengine.

Kwa maelezo hayo hapo juu Ndugu John Magufuli anastahili kupewa hii nafasi ya kuwa Rais, amefanya mengi kupitia uongozi wake, wasaidizi wake na Serikali yake kwa ujumla.

Hakuna asiyeyaona, wala asiyeyasikia na kuthibitisha kila kona ya nchi hii ndani ya miaka mitano tu kuna alama za maendeleo zimebaki na zitaendelea kubaki kwa manufaa ya nchi hii.

Kuna usemi mmoja unasema ''safari moja huanzisha nyingine'', Safari hii ndugu zangu wenye akili na ufahamu kwa Magufuli tena aendeleze safari nyingine za maendeleo Tanzania itakuwa gumzo kwa vizazi vijavyo!!
 
Nimefuatilia mikutano ya kampeni za uchaguzi na kugundua kwamba pamoja na ilani zinazotangazwa na vyama ambazo ndio dira ya yajayo, lakini kikubwa na kinachotofautishwa na vyama hivi ni kauli za ''TUMEFANYA'' na ''TUTAFANYA''

Kwa wale wenye kuelewa kati ya hizi kauli mbili moja ni rahisi kuikubali kwa sababu unaweza kuwa umeona hicho kinachosemwa tumefanya ni rahisi kukubali na kuunga mkono kwa kuwa uthibitisho upo.

Hii kauli ya pili tutafanya ina mambo mengi na tutangulize Mungu akipenda kwani lolote laweza kutokea ikiwemo mabadiliko ya tabia ya nchi, mabadiliko hali ya uchumi wa Dunia na siasa za mataifa mengine.

Kwa maelezo hayo hapo juu Ndugu John Magufuli anastahili kupewa hii nafasi ya kuwa Rais, amefanya mengi kupitia uongozi wake, wasaidizi wake na Serikali yake kwa ujumla.

Hakuna asiyeyaona, wala asiyeyasikia na kuthibitisha kila kona ya nchi hii ndani ya miaka mitano tu kuna alama za maendeleo zimebaki na zitaendelea kubaki kwa manufaa ya nchi hii.

Kuna usemi mmoja unasema ''safari moja huanzisha nyingine'', Safari hii ndugu zangu wenye akili na ufahamu kwa Magufuli tena aendeleze safari nyingine za maendeleo Tanzania itakuwa gumzo kwa vizazi vijavyo!!

Kama vitu vilivyofanywa ndio kipimo cha mtu au chama kukaa madarakani, ilitakiwa mpaka leo makaburu wa Africa kusini wawepomadarakani. Waliyofanya makaburu huko Africa kusini, hata magufuli afie madarakani hatakaa ayafikie, lakini waliondolewa madarakani.
 
Pambaneni na hali yenu tutamwaga sukuri bahari ya Hindi hakuna shida
 
Kama vitu vilivyofanywa ndio kipimo cha mtu au chama kukaa madarakani, ilitakiwa mpaka leo makaburu wa Africa kusini wawepomadarakani. Waliyofanya makaburu huko Africa kusini, hata magufuli afie madarakani hatakaa ayafikie, lakini waliondolewa madarakani.
Wenda wazim hawa ngoja tuwaonyeshe nini Nguvu ya haki na uhuru
 
Duuu! tuendelee kuishi kwa matumaini tena kwa miaka 5 na sera za majukwaani ambazo hazina sheria wala kanuni za kizisimamia? yaani one Man band show
Ina huzunisha sana mkuu mtu ana simama kila mahali na kufoka foka tu hapana haki na uhuru ni muhimu kuliko kitu chochote
 
Meko ndo anakumbuka leo kwamba watumishi wa umma wanapaswa kupewa nyongeza ya mshahara.

Kiburi chote kimeisha. Watumishi wamemhakikishia kwamba hawahitaji nyongeza toka kwake bali wanataka wajazwe mapesa na rais ajaye ambaye ni Tundu Lissu.

Meko na ushamba na udhalimu wake akafie mbele huko.
 
Nimefuatilia mikutano ya kampeni za uchaguzi na kugundua kwamba pamoja na ilani zinazotangazwa na vyama ambazo ndio dira ya yajayo, lakini kikubwa na kinachotofautishwa na vyama hivi ni kauli za ''TUMEFANYA'' na ''TUTAFANYA''

Kwa wale wenye kuelewa kati ya hizi kauli mbili moja ni rahisi kuikubali kwa sababu unaweza kuwa umeona hicho kinachosemwa tumefanya ni rahisi kukubali na kuunga mkono kwa kuwa uthibitisho upo.

Hii kauli ya pili tutafanya ina mambo mengi na tutangulize Mungu akipenda kwani lolote laweza kutokea ikiwemo mabadiliko ya tabia ya nchi, mabadiliko hali ya uchumi wa Dunia na siasa za mataifa mengine.

Kwa maelezo hayo hapo juu Ndugu John Magufuli anastahili kupewa hii nafasi ya kuwa Rais, amefanya mengi kupitia uongozi wake, wasaidizi wake na Serikali yake kwa ujumla.

Hakuna asiyeyaona, wala asiyeyasikia na kuthibitisha kila kona ya nchi hii ndani ya miaka mitano tu kuna alama za maendeleo zimebaki na zitaendelea kubaki kwa manufaa ya nchi hii.

Kuna usemi mmoja unasema ''safari moja huanzisha nyingine'', Safari hii ndugu zangu wenye akili na ufahamu kwa Magufuli tena aendeleze safari nyingine za maendeleo Tanzania itakuwa gumzo kwa vizazi vijavyo!!
Tayari Magufuli ana mtaji wa kufanya mambo yaliyomo kwenye ilani anayoinadi kuliko mgombea mwingine yoyote mwingine.
 
Nimefuatilia mikutano ya kampeni za uchaguzi na kugundua kwamba pamoja na ilani zinazotangazwa na vyama ambazo ndio dira ya yajayo, lakini kikubwa na kinachotofautishwa na vyama hivi ni kauli za ''TUMEFANYA'' na ''TUTAFANYA''

Kwa wale wenye kuelewa kati ya hizi kauli mbili moja ni rahisi kuikubali kwa sababu unaweza kuwa umeona hicho kinachosemwa tumefanya ni rahisi kukubali na kuunga mkono kwa kuwa uthibitisho upo.

Hii kauli ya pili tutafanya ina mambo mengi na tutangulize Mungu akipenda kwani lolote laweza kutokea ikiwemo mabadiliko ya tabia ya nchi, mabadiliko hali ya uchumi wa Dunia na siasa za mataifa mengine.

Kwa maelezo hayo hapo juu Ndugu John Magufuli anastahili kupewa hii nafasi ya kuwa Rais, amefanya mengi kupitia uongozi wake, wasaidizi wake na Serikali yake kwa ujumla.

Hakuna asiyeyaona, wala asiyeyasikia na kuthibitisha kila kona ya nchi hii ndani ya miaka mitano tu kuna alama za maendeleo zimebaki na zitaendelea kubaki kwa manufaa ya nchi hii.

Kuna usemi mmoja unasema ''safari moja huanzisha nyingine'', Safari hii ndugu zangu wenye akili na ufahamu kwa Magufuli tena aendeleze safari nyingine za maendeleo Tanzania itakuwa gumzo kwa vizazi vijavyo!!
Mmeua Uhuru wa habari nchi hii hadi CRI kiswahili wanatangaza habari ambazo nchini hazitangazwi
 
Meko ndo anakumbuka leo kwamba watumishi wa umma wanapaswa kupewa nyongeza ya mshahara.

Kiburi chote kimeisha. Watumishi wamemhakikishia kwamba hawahitaji nyongeza toka kwake bali wanataka wajazwe mapesa na rais ajaye ambaye ni Tundu Lissu.

Meko na ushamba na udhalimu wake akafie mbele huko.
Hatunzi kauli zake pia ana tungo tata 'He does not keep his words' Kiongozi ambaye hatunzi kauli zake duuu!
 
Nimefuatilia mikutano ya kampeni za uchaguzi na kugundua kwamba pamoja na ilani zinazotangazwa na vyama ambazo ndio dira ya yajayo, lakini kikubwa na kinachotofautishwa na vyama hivi ni kauli za ''TUMEFANYA'' na ''TUTAFANYA''

Kwa wale wenye kuelewa kati ya hizi kauli mbili moja ni rahisi kuikubali kwa sababu unaweza kuwa umeona hicho kinachosemwa tumefanya ni rahisi kukubali na kuunga mkono kwa kuwa uthibitisho upo.

Hii kauli ya pili tutafanya ina mambo mengi na tutangulize Mungu akipenda kwani lolote laweza kutokea ikiwemo mabadiliko ya tabia ya nchi, mabadiliko hali ya uchumi wa Dunia na siasa za mataifa mengine.

Kwa maelezo hayo hapo juu Ndugu John Magufuli anastahili kupewa hii nafasi ya kuwa Rais, amefanya mengi kupitia uongozi wake, wasaidizi wake na Serikali yake kwa ujumla.

Hakuna asiyeyaona, wala asiyeyasikia na kuthibitisha kila kona ya nchi hii ndani ya miaka mitano tu kuna alama za maendeleo zimebaki na zitaendelea kubaki kwa manufaa ya nchi hii.

Kuna usemi mmoja unasema ''safari moja huanzisha nyingine'', Safari hii ndugu zangu wenye akili na ufahamu kwa Magufuli tena aendeleze safari nyingine za maendeleo Tanzania itakuwa gumzo kwa vizazi vijavyo!!
Misguiding observation. Every action (nimefanya) begins with an idea (nitafanya). Hata wakoloni na makaburu walifanya vitu "tangible" kwa waliowatawala lakini waliondolewa. Sababu? Watawaliwa walitaka wawe huru. Kwa kuwa: Uhuru = Haki + Maendeleo. Chini ya JPM kuna maendeleo ya vitu bila kuwepo kwa haki na uhuru kwa anaowatawala. This is a sufficient justification for him to leave.
 
Back
Top Bottom