Huu ndo utakuwa mchuano mkali 2020, CCM watakuwa Kitonga wakiserereka!

Kama kwenye mawazo yako unawaza tu uchaguzi ni raha, unapanga mambo ya 2020 leo mkuu. Siasa ni game ngumu acha utabiri, ulikuja kumfahamu Magufuli kama mgombea wa ccm lini?
Mkuu, umeona kilichotokea juzi
 
Mwaka 2015 Chama cha Demokorasia na Maendeleo( CDM) kilikuwa ktk kilele chake cha mafanikio. Kama si technical error's walizofanya mwishoni kabisa, kushindwa kumuelewa mwenye ngoma waliyokuwa wakiicheza kwa mda mrefu ,uzoefu wa CCM, CCM kuwa chama Dora na mambo kadhaa ya kikatiba kuhusu uchaguzi ambayo hayajakaa sawa, basi CDM chini ya mwamvuli wa UKAWA walikuwa wanatinga magogoni!

Sasa baada ya tingatinga kuishika magogoni na mwenye ngoma kuanza kufanya kazi zake za asili za miaka yote( kumbuka NCCR ya 1995) sasa mambo yanabadilika kwa kasi mno.

Ni katika mukitadha huu nayaona mambo yafuatayo yakitokea kabla na mnamo mwaka 2020 kwenye medani za siasa kwenye kaya yetu tukufu!

1. CCM itakuwa imerudi kwenye level zake, CCM ile yenye uwezo wa hali ya juu kwenye proganda, CCM ile yenye uwezo mkubwa wa kimafia, CCM ile yenye think Tank zilizibobea, CCM ambayo vijana wadogo kama kina mnyika, Zitto, au tundu Lissu hawawezi kuitikisa hata kidogo!

2. Edward Ngoyaye Lowassa hatagombea uraisi, wengi watakipinga hili, lkn ukweli ni kuwa Lowassa ni mtu anayependa sana sehemu nzuri, anapenda sana ufahari. CDM( UKAWA) ya 2015 ilikuwa kama kigori wa kitutsi, ilikuwa inavutia, ulikuwa inapendwa na kila mtu, ilikuwa oxygen ya watanzania, iliwavutia Maaskofu, Mapadri, Mashehe hadi wachungaji, ninaamini hata mwenyekiti wa Chama aliyepita aliipenda CDM hii, yaani kuna wkt akikaa kwenye tv pekee yake alijikuta akitabasamu mwenyewe akiona jinsi CDM ilivokuwa tamu!
Mwaka 2020 CDM haitakuwa tena sehemu ya kujiskia ufahari, watakuwa wamekataa tamaa, morali itakuwa chini, yaani watakuwa wanapitia kipindi cha mpito baada ya mafanikio yaliyopatikana kwa kutumia nguvu kubwa( kwenye soka tunaita second season syndrome) hali ambayo ni ya kawaida sana baada ya kufika kwenye kilele cha mafanikio. Hivyo Lowassa kama mtu anayependa ufahari hata kuwa tayari kugombea kupitia CDM iliyo ktk kipindi cha mpito, CDM isiyo fahari, hata kuwa tayari kuona kile kilichomkuta Mrema mwaka 2000 au Lipumba mwaka 2010 kikimtokea yeye! Sana sana atasitafu siasa au atabaki kama Mzee Mtei na kuwaingiza vijana wake au wakwe zake chamani au hata kurudi nyumbani Lumumba!

3.Mchuano mkali utakuwa kati ya wanaUKAWA wa zamani. Hapa baada ya wanaUKAWA kugawanyika wataunda kambi mbili, zote hizo zitakuwa zikipambana kuwania nafasi ya kambi rasmi ya upinzani. Hapa ni kwakuwa itakuwa wazi kuwa CCM watashinda kwa kishindo hivyo hawa wawili watajikuta hoja zao ni kuomba ridhaa ya kwenda kuisimamia serikali kama kambi rasmi ya upinzani! Ikumbukwe upande huu mpya wa UKAWA ndipo mwenye ngoma ile walioicheza CDM miaka dahari anapojaribu kuihamishia ngoma yake,hivyo kabla 2019 tunakwenda kupata UKAWA nyingine kubwa na yenye nguvu!

3.Wakati wanaUKAWA hawa wa zamani wakichuana vikali kutafta nafasi ya kambi rasmi ya upinzani, CCM wao watakuwa pale kitonga wakiserereka, wakisubiri tu kujua wameshinda kwa asilimia ngapi! Na sababu kuu hapa ni kuwa tingatinga litakuwa limetifua vya kutosha na kueleweka vilivyo, hivyo kuipeperusha vyema Bendera ya Lumumba, pili, CCM sasa imeondoka kwenye kipindi cha mpito na sasa wameanza kujiorganise wkt watani wao ndo kwanza wanaingia kwenye kipindi cha mpito, tatu chama kimerudi kwa wenyewe hivyo ile CCM tunayoijua yenye fitina za kutosha inakuja nadhani tayari mmeshaona balaa lao.

Mwisho katiba itakayotumika 2020 ni hii ya sasa kama siyo hii ya sasa basi ni ile ya Joka, mpaka hapo mchezo umeshaisha!
Mkuu uliona mbali, Chadema ya sasa huwezi kuitofautisha na Chauma yaani ni kama tajiri aliyefilisika na kubakiwa na ndevu tu.
 
Mkuu uliona mbali, Chadema ya sasa huwezi kuitofautisha na Chauma yaani ni kama tajiri aliyefilisika na kubakiwa na ndevu tu.
Mkuu wakati naandika haya, watu waliona kama utani, na hii ndio shida ya upinzani. Wanaweza siasa za leo, hawana uwezo wa kuona kesho.
 
Mkuu uliona mbali, Chadema ya sasa huwezi kuitofautisha na Chauma yaani ni kama tajiri aliyefilisika na kubakiwa na ndevu tu.
Hakuna mtanzania yeyote mwenye akili timamu anayempenda Jiwe. Kama mnabisha, mwambieni aruhusu mikutano ya viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa waende kuzungumza na wananchi kama afanyavyo yeye hata kwa siku moja tu halafu muone watanzania watakavyofunguka.
Mnapenda kumpamba kwa sifa za kijinga wakati hataki wapinzani wafanye siasa. Kampeni za mwakani Jiwe kwisha habari yake dadadeki.
 
Mku kipimo chetu kama wanaccm ni kuruhusu mpinzani wako uwanja sawa sasa kipimo chako ni kipi tusije kukalazimisha Sudani ambayo Katibu wetu Ally Bashir anaona hatari yake kama mimi ninavyoiona kwani wapinzani hawapotezi
Mwaka 2015 Chama cha Demokorasia na Maendeleo( CDM) kilikuwa ktk kilele chake cha mafanikio. Kama si technical error's walizofanya mwishoni kabisa, kushindwa kumuelewa mwenye ngoma waliyokuwa wakiicheza kwa mda mrefu ,uzoefu wa CCM, CCM kuwa chama Dora na mambo kadhaa ya kikatiba kuhusu uchaguzi ambayo hayajakaa sawa, basi CDM chini ya mwamvuli wa UKAWA walikuwa wanatinga magogoni!

Sasa baada ya tingatinga kuishika magogoni na mwenye ngoma kuanza kufanya kazi zake za asili za miaka yote( kumbuka NCCR ya 1995) sasa mambo yanabadilika kwa kasi mno.

Ni katika mukitadha huu nayaona mambo yafuatayo yakitokea kabla na mnamo mwaka 2020 kwenye medani za siasa kwenye kaya yetu tukufu!

1. CCM itakuwa imerudi kwenye level zake, CCM ile yenye uwezo wa hali ya juu kwenye proganda, CCM ile yenye uwezo mkubwa wa kimafia, CCM ile yenye think Tank zilizibobea, CCM ambayo vijana wadogo kama kina mnyika, Zitto, au tundu Lissu hawawezi kuitikisa hata kidogo!

2. Edward Ngoyaye Lowassa hatagombea uraisi, wengi watakipinga hili, lkn ukweli ni kuwa Lowassa ni mtu anayependa sana sehemu nzuri, anapenda sana ufahari. CDM( UKAWA) ya 2015 ilikuwa kama kigori wa kitutsi, ilikuwa inavutia, ulikuwa inapendwa na kila mtu, ilikuwa oxygen ya watanzania, iliwavutia Maaskofu, Mapadri, Mashehe hadi wachungaji, ninaamini hata mwenyekiti wa Chama aliyepita aliipenda CDM hii, yaani kuna wkt akikaa kwenye tv pekee yake alijikuta akitabasamu mwenyewe akiona jinsi CDM ilivokuwa tamu!
Mwaka 2020 CDM haitakuwa tena sehemu ya kujiskia ufahari, watakuwa wamekataa tamaa, morali itakuwa chini, yaani watakuwa wanapitia kipindi cha mpito baada ya mafanikio yaliyopatikana kwa kutumia nguvu kubwa( kwenye soka tunaita second season syndrome) hali ambayo ni ya kawaida sana baada ya kufika kwenye kilele cha mafanikio. Hivyo Lowassa kama mtu anayependa ufahari hata kuwa tayari kugombea kupitia CDM iliyo ktk kipindi cha mpito, CDM isiyo fahari, hata kuwa tayari kuona kile kilichomkuta Mrema mwaka 2000 au Lipumba mwaka 2010 kikimtokea yeye! Sana sana atasitafu siasa au atabaki kama Mzee Mtei na kuwaingiza vijana wake au wakwe zake chamani au hata kurudi nyumbani Lumumba!

3.Mchuano mkali utakuwa kati ya wanaUKAWA wa zamani. Hapa baada ya wanaUKAWA kugawanyika wataunda kambi mbili, zote hizo zitakuwa zikipambana kuwania nafasi ya kambi rasmi ya upinzani. Hapa ni kwakuwa itakuwa wazi kuwa CCM watashinda kwa kishindo hivyo hawa wawili watajikuta hoja zao ni kuomba ridhaa ya kwenda kuisimamia serikali kama kambi rasmi ya upinzani! Ikumbukwe upande huu mpya wa UKAWA ndipo mwenye ngoma ile walioicheza CDM miaka dahari anapojaribu kuihamishia ngoma yake,hivyo kabla 2019 tunakwenda kupata UKAWA nyingine kubwa na yenye nguvu!

3.Wakati wanaUKAWA hawa wa zamani wakichuana vikali kutafta nafasi ya kambi rasmi ya upinzani, CCM wao watakuwa pale kitonga wakiserereka, wakisubiri tu kujua wameshinda kwa asilimia ngapi! Na sababu kuu hapa ni kuwa tingatinga litakuwa limetifua vya kutosha na kueleweka vilivyo, hivyo kuipeperusha vyema Bendera ya Lumumba, pili, CCM sasa imeondoka kwenye kipindi cha mpito na sasa wameanza kujiorganise wkt watani wao ndo kwanza wanaingia kwenye kipindi cha mpito, tatu chama kimerudi kwa wenyewe hivyo ile CCM tunayoijua yenye fitina za kutosha inakuja nadhani tayari mmeshaona balaa lao.

Mwisho katiba itakayotumika 2020 ni hii ya sasa kama siyo hii ya sasa basi ni ile ya Joka, mpaka hapo mchezo umeshaisha!
 
Mku kipimo chetu kama wanaccm ni kuruhusu mpinzani wako uwanja sawa sasa kipimo chako ni kipi tusije kukalazimisha Sudani ambayo Katibu wetu Ally Bashir anaona hatari yake kama mimi ninavyoiona kwani wapinzani hawapotezi
Mkuu soma vizuri nilichokiandika between line, hasa pale nilipoigusia CCM utanielewa, usipende kukurupuka!
 
Hakuna mtanzania yeyote mwenye akili timamu anayempenda Jiwe. Kama mnabisha, mwambieni aruhusu mikutano ya viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa waende kuzungumza na wananchi kama afanyavyo yeye hata kwa siku moja tu halafu muone watanzania watakavyofunguka.
Mnapenda kumpamba kwa sifa za kijinga wakati hataki wapinzani wafanye siasa. Kampeni za mwakani Jiwe kwisha habari yake dadadeki.
Try to be Critical soma mstari kwa mstari nilichoandika uelewe. Unapanic nini mkuu, bu the way Lowassa bado yupo CDM? bado ni Rais wa mioyo yenu!?
 
Mwaka 2015 Chama cha Demokorasia na Maendeleo( CDM) kilikuwa ktk kilele chake cha mafanikio. Kama si technical error's walizofanya mwishoni kabisa, kushindwa kumuelewa mwenye ngoma waliyokuwa wakiicheza kwa mda mrefu ,uzoefu wa CCM, CCM kuwa chama Dora na mambo kadhaa ya kikatiba kuhusu uchaguzi ambayo hayajakaa sawa, basi CDM chini ya mwamvuli wa UKAWA walikuwa wanatinga magogoni!

Sasa baada ya tingatinga kuishika magogoni na mwenye ngoma kuanza kufanya kazi zake za asili za miaka yote( kumbuka NCCR ya 1995) sasa mambo yanabadilika kwa kasi mno.

Ni katika mukitadha huu nayaona mambo yafuatayo yakitokea kabla na mnamo mwaka 2020 kwenye medani za siasa kwenye kaya yetu tukufu!

1. CCM itakuwa imerudi kwenye level zake, CCM ile yenye uwezo wa hali ya juu kwenye proganda, CCM ile yenye uwezo mkubwa wa kimafia, CCM ile yenye think Tank zilizibobea, CCM ambayo vijana wadogo kama kina mnyika, Zitto, au tundu Lissu hawawezi kuitikisa hata kidogo!

2. Edward Ngoyaye Lowassa hatagombea uraisi, wengi watakipinga hili, lkn ukweli ni kuwa Lowassa ni mtu anayependa sana sehemu nzuri, anapenda sana ufahari. CDM( UKAWA) ya 2015 ilikuwa kama kigori wa kitutsi, ilikuwa inavutia, ulikuwa inapendwa na kila mtu, ilikuwa oxygen ya watanzania, iliwavutia Maaskofu, Mapadri, Mashehe hadi wachungaji, ninaamini hata mwenyekiti wa Chama aliyepita aliipenda CDM hii, yaani kuna wkt akikaa kwenye tv pekee yake alijikuta akitabasamu mwenyewe akiona jinsi CDM ilivokuwa tamu!
Mwaka 2020 CDM haitakuwa tena sehemu ya kujiskia ufahari, watakuwa wamekataa tamaa, morali itakuwa chini, yaani watakuwa wanapitia kipindi cha mpito baada ya mafanikio yaliyopatikana kwa kutumia nguvu kubwa( kwenye soka tunaita second season syndrome) hali ambayo ni ya kawaida sana baada ya kufika kwenye kilele cha mafanikio. Hivyo Lowassa kama mtu anayependa ufahari hata kuwa tayari kugombea kupitia CDM iliyo ktk kipindi cha mpito, CDM isiyo fahari, hata kuwa tayari kuona kile kilichomkuta Mrema mwaka 2000 au Lipumba mwaka 2010 kikimtokea yeye! Sana sana atasitafu siasa au atabaki kama Mzee Mtei na kuwaingiza vijana wake au wakwe zake chamani au hata kurudi nyumbani Lumumba!

3.Mchuano mkali utakuwa kati ya wanaUKAWA wa zamani. Hapa baada ya wanaUKAWA kugawanyika wataunda kambi mbili, zote hizo zitakuwa zikipambana kuwania nafasi ya kambi rasmi ya upinzani. Hapa ni kwakuwa itakuwa wazi kuwa CCM watashinda kwa kishindo hivyo hawa wawili watajikuta hoja zao ni kuomba ridhaa ya kwenda kuisimamia serikali kama kambi rasmi ya upinzani! Ikumbukwe upande huu mpya wa UKAWA ndipo mwenye ngoma ile walioicheza CDM miaka dahari anapojaribu kuihamishia ngoma yake,hivyo kabla 2019 tunakwenda kupata UKAWA nyingine kubwa na yenye nguvu!

3.Wakati wanaUKAWA hawa wa zamani wakichuana vikali kutafta nafasi ya kambi rasmi ya upinzani, CCM wao watakuwa pale kitonga wakiserereka, wakisubiri tu kujua wameshinda kwa asilimia ngapi! Na sababu kuu hapa ni kuwa tingatinga litakuwa limetifua vya kutosha na kueleweka vilivyo, hivyo kuipeperusha vyema Bendera ya Lumumba, pili, CCM sasa imeondoka kwenye kipindi cha mpito na sasa wameanza kujiorganise wkt watani wao ndo kwanza wanaingia kwenye kipindi cha mpito, tatu chama kimerudi kwa wenyewe hivyo ile CCM tunayoijua yenye fitina za kutosha inakuja nadhani tayari mmeshaona balaa lao.

Mwisho katiba itakayotumika 2020 ni hii ya sasa kama siyo hii ya sasa basi ni ile ya Joka, mpaka hapo mchezo umeshaisha!
Mku nimerudia uzi wako kama ulivyoamua kunipa jina ambalo ukurupukaji meona unipe lakini kwa jina Mungu ninayemwamini nalibatilisha lirudi liliko toka kwa Mtu unayekuja na uchambuzi usiokuwa na mantiki kabisa ila ukumbuke mm ni mwanaccm kwa hiyo siongelei uvyama ninasimama kama Mtanzania asiyependa siasa za mabavu.

Ndio sikatai udola wa chama changu ukizunguzia huo udola pia zungungumzia mgawanyiko Nchi Kiitikadi hivi unavyoona huu mgawanyiko ambao umefikia Mahali upinzani haushirikia uchaguzi na huo upinzani ni chama ni vyama vingapi na ukitaka kujua viko vingapi inabidi uangalie utendaji wake na kinashirikiana kipi chama dola au chama pinzani kinachoshirikia mwenzake hiki ni ni pinzani pia hichihicho kinaweza kikawa dable urgent yaani nikiifu kwa wasisi wake.
Usema utazaliwa ukawa nyingine alafu itakuwa na nguvu zaidi ya ukawa ya zamani hiyo ukawa mpya ipi hiyo kwani utaniambia Cuf, ACT,Nccr mageuzi na Chadema au kuna kingine zaidi hivyo vitatu ninavyovijua mimi na wengine wanaojua haya mambo.

1-CUF ni chama ambacho kimekutana na mtiani wa mgawanyiko yaani cfu Lipumba na Cuf Malim imefikia mahali wanachama hawajui waende wapi kati ya ACT au Chadema na hii inatoka na uelewa wa mwanachama alionao kwa hiyo wapo njia panda.
Na hii njia panda inatokana na nini ni pale ACT inapotaka kuwakabidhi ya wanachama kadi na hii nafasi hawaipati sio kwa kukosa muda hilo unalijua linatokana na nini.

Hii linafanywa kwa mkakati ili hawa wanachama wabaki kama walivyo mpaka uchaguzi wa serekali za mitaa utakavyofanyika lakini hawatabaki hivyo hivyo kwani kuna vyama ambavyo sio vya msimu tena kila siku vyama vinatoaelimu ya uraia kwa ajili ya kusajili wanachama wapya.

Wale wanachama ambao hawatafikiwa watakutana na upepo wa uchaguzi wa Serekali za mitaa hapa kila chama kitachukua wa kwake kuendana na elimu ya uraia itavyo waingia na kuipokea wakati ambao hauko mbali kwani uchaguzi wa serekali za mitaa hauko mbali .

Sasa sijui hii mpya unaipata je au ndio pale dable urgent utakapo timia kwa hivi vyenye ukakasi ktk jamii ya watu wenye uelewa wa mambo ya siasa.
Lakini Chadema itaendele kusimama kwa miguu yake na wenye Itikadi kwani Chadema huko ilikotokea haikuwai kuungana na chama chochote lakini udhabiti wake ulikuwepo lililopotokea swala la kuto kuelewana ktk swala Katiba Mpya Chadema ikaasisi umoja wa Ukawa na nguvu yake inajulikana na faida yake inaonekana mpaka hii leo ndio maana uadui uliopo kati ya ACT 'CUF na Chadema kwani Chadema ni chama kinachotishia kuchukua madaraka ya Chama changu ccm kwa hiyo chadema haiwezi kupendwa ndio maana mahali popote kwenye mikutano ya hadhara huwezizi kukuta chama changu kuniweka uadui kati ACT au CUF ndo hapo unapoona Chadema chama tofauti hata elimu ya uraia wanayoitoa inajulikana ni kubwa na ukitaka kulijua hili angalia mwanachadema akipokelewa na chama changu ccm anavyooneka kama kapokelewa mfalme.

Sasa hii ukawa mpya itakuwa ni ya nani wakati mambo yako wazi hivyo hivyo hata chadema hakitaungana na chama chochote hata kwa kutumia ubabe kitabaki na wanachama wake wenye mgawanyiko wa Kiitikadi kama ilivyo sasa Umoja wa Kitaifa Taifa bali kuna watu na Itikadi za vyama vyao na hapa hatujengi taifa bali nyufa za kiutawala na sidhani kama ni mzuri hata Mwalimu Nyerere alipoasisi alishaona bila vyama vingi watu watanichoka.

Na kumbuka ndani ya chama changu mgawanyiko upo mkubwa na Mwanachama wa chama kingine anajiunga nasi then anaachwa kugombe ubunge pasipo ushindani ndani ya chama na wengine kupewa nafasi za uongozi wakati watu walizomewa na haohao tunaowaona afadhali zaidi ya sisi tuliopo ndani chama.
Pia hili swala CAG na IFM ni shida kwetu ngoja kampeni za uchaguzi wa serekali za mitaa ndo utakavyokuwa kugumu kujibu hoja mwisho unaoneka wizi ulivyotamalaki na majibu yake hakuna mtoaji wake bado tumejawa na simtofahamu hata safari za mikoani Mbeya or nje nchi Malawi hazisaidii watanzania wanasubiria majibu kutoka kwetu chama tawala kuto kujibu ni faida ya Upinzani sio hasara kwani pasipo na majibu bado tutabaki kuwa watuhumiwa itoshe kusema yakuwa Watanzania sio Wajinga hata Rais analijua hili kwani ni juzi aliongea yakuwa Watanzania sio wajinga.
Kwa hiyo hatui tuko wapi kama chama mambo ni mengi yasiyo na majibu.
 
Back
Top Bottom