Recent content by Mdogo ake the BOLD

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa kwa madeni

    Una deni la sh ngap kwan????
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa kwa madeni

    Mkuu usifikie huko kabsa...utainuka tena wala usikate tamaa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kusaga unga Dar

    Mkuu naweza kuja PM naona umefunga
  4. M

    JamiiForums Tanzania Njooni tujichange twende Tanga tukajenge kiwanda cha kemikali za Mafuta (Petrochemical Plant) Malighafi tutachukua kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta

    At least ungeboresha wazo lake kama unaona amekosea au hajui kuliko kumfanyia personal attack...samahan lakin
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

    Daaah nimeona ndoa ya Phares Magesa na Haika Lawere (owner Mbezi Garden Hotel Limited) imevunjwa na mahakama tangu 2022 nimeumia sana
  6. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mrina, mmiliki wa Mrina Bar za Arusha na Manzese afariki

    Apumzike kwa amani mwamba kabisa pole kwa Janeth na Deo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    Unashangaa mtu anasema nimejengewa mbweni nimefunguliwa biashara 3 mjini. Uongomtupu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    Wanazifungia sana halaf anafungua nyingine...zile screenshot sio za ukwel nyingi anacheza na akil za watu na anafanikiwa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    Yule dada ni daktar ila nahis soon ataacha ile kazi maana anauza mpaka dildo na huduma zake ni kuanzia 100k mpaka 500k
  10. M

    JamiiForums Tanzania Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    Hapo mjini insta kuna dr Ushaur ana balaa yule dada vvip unaunganishwa kwa 500k na watu wanatoa Anaunganisha mishangazi na vijana Wake/waume za watu wanaotaka kupata wenza wa show tu anaunganisha
  11. M

    JamiiForums Tanzania Sikujui na haunijui bro ila kama upo 27-38 usioe mdada ambae ameshaona mengi kwenye mahusiano atakutesa sana

    Huu ni ukwel.mchungu halaf unakuta tayar ni single maza
Back
Top Bottom