Recent content by Mdogo ake the BOLD

  1. M

    Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

    Daaah nimeona ndoa ya Phares Magesa na Haika Lawere (owner Mbezi Garden Hotel Limited) imevunjwa na mahakama tangu 2022 nimeumia sana
  2. M

    TANZIA Mrina, mmiliki wa Mrina Bar za Arusha na Manzese afariki

    Apumzike kwa amani mwamba kabisa pole kwa Janeth na Deo
  3. M

    Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    Unashangaa mtu anasema nimejengewa mbweni nimefunguliwa biashara 3 mjini. Uongomtupu
  4. M

    Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    Wanazifungia sana halaf anafungua nyingine...zile screenshot sio za ukwel nyingi anacheza na akil za watu na anafanikiwa
  5. M

    Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    Yule dada ni daktar ila nahis soon ataacha ile kazi maana anauza mpaka dildo na huduma zake ni kuanzia 100k mpaka 500k
  6. M

    Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    Hapo mjini insta kuna dr Ushaur ana balaa yule dada vvip unaunganishwa kwa 500k na watu wanatoa Anaunganisha mishangazi na vijana Wake/waume za watu wanaotaka kupata wenza wa show tu anaunganisha
  7. M

    Natabiri Tulia Ackson atakuwa Waziri Mkuu baada ya Kassim Majaliwa

    Mimi Mdogo ake the BOLD leo tarehe 05.08.2025 natabiri next PM will be TULIA ACKSON MWASANSU "Amtumaniae Bwana ni kama mlima SAYUNI"
  8. M

    Kampuni ya MI CASA yaamriwa kulipa Tzs milioni 20 kwa kuvunja faragha ya mtu

    Kama ni ya Ubungo inawezekana jamaa alikua anakula mdudu
  9. M

    Ni sahihi mtu mmoja kula kitimoto nusu kilo peke yake akamaliza?

    Mim nakulaga kitimoto kilo 2 na nusu bila ndizi wala ugali
Back
Top Bottom