Recent content by mdindile

  1. mdindile

    Zanzibar karibuni

    .
  2. mdindile

    Wizara ya Mambo ya Ndani: Atakayesema kuna njaa tutamkamata na kumwajibisha

    Wizara ya mambo ya ndani inaingilia vip suala lá njaa.. Mbona hili suala sio lao.. Kila mtu afanye kazi yake... Wizara ya kilimo na chakula ndio iseme sio kisiasa.. Ifanye tafiti na kuhakiki.. Lisemwalo lipo bana...
  3. mdindile

    Kilimo cha maparachichi

    Mwenye utaalam au uzoefu na hiki kilimo naomba msaada.. Ili kujua namna ya kulima, soko na faida zake. Nina heka moja nataka kupanda tu miti ya maparachichi kwa kisasa..
  4. mdindile

    Laptop for Sale at Reasonable Price

    hahahahaha kwann unaiuza? nakupa laki 4 upo?
  5. mdindile

    Laptop for Sale at Reasonable Price

    nahitaji laptop....ni mpya hiyo? Au used?
  6. mdindile

    The Road to The 2014 FIFA World Cup - Brazil

    tuwasiliane naenda huko sao paulo.....
  7. mdindile

    Funny Names of MPs

    nyalandu
  8. mdindile

    Wahaya waandamana

    iringa je? Kaumbwa....!!
  9. mdindile

    Morogoro mpotayariiii?

    kola hill mpo
  10. mdindile

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    patakatifu ni mahali pa mungu
  11. mdindile

    Bishop Desmond Tutu aanzisha chama cha mashoga!

    hii noma kama tumefika huko kesho watu wataoa mama zao na tutawatetea...
  12. mdindile

    Jaji mstaafu Warioba unayakana maneno yako mwenyewe au ndiyo agenda ya kuvunja Muungano?

    labda mtanisaidia kunielewesha, ni hivi...tunaongea sana kuhusu suala la muungano utafikiri ndio essence ya katiba mpya tunayoitaka, mosi. Pili, kiuhalisia watz sasa hatupendani yaan tunu zetu za udugu au tunu za taifa kama sage warioba alivyozitaja zimekufa, juzi juzi tu hapa tumeonesha...
  13. mdindile

    Baraza la mawaziri

    jamaa anajipanga haswaa siunajua hili ndo pindi lake la mwisho...sema hata achambue vipi ndani ya magamba mijusi wengi mno.
Back
Top Bottom