hahaha yamekua hayo tena...kuua muue nyie leo useme tumemwaga damu sie..kubali tu bana katika hali ya kawaida bila kutumia nguvu kufikiri nyie ndo mlitupiga bomu kuvuruga uchaguzi kumbe mmeahirisha tu ttzo..watz wa leo wanajua ipi nyeupe na ipi nyeusi
Nampongeza sana kijana kwa kujitambua nakuona kuwa yupo mahali ambapo hastahili...kwa mtu yeyeote makini kuwa katika mfumo wa chama hiki cha magamba, kunakufanya hata kama ni msafi nawe uonekane walewale..naomba wana cdm kuwapokea bila ya kinyongo lakini umakini utumike kuwakuza kwenye mwelekeo...
Nadhani CDM wameamua kutumia busara kuupuuza hizo shutuma kwani hazina msingi wowote, CDM wapo mikoa ya kanda ya ziwa, mikoa ya kaskazini, wapo sasa nyanda za juu kusini ndo wana kwenda hivyo, always kuna starting point, ili waweze kuenea nchi yote na mimi naridhika na kasi iliyopo, watanzania...
CCM hawasomi alama za nyakati, wanatafuta kuaibika tena, na wataaibika..CCMtumeichoka na hawana jipya la kuja nalo kwa wananchi, kwa uwezo wa Mungu CDM tutashinda tena kwa kishindo kuliko 2010
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.