Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
Moto umeshaunguza nyumba nzima wewe jidanganye kuwa chumbani kwako haujafika.
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
Hapana. Tupe Link, sina imani na hii, maana hata mimi kwenye page yake nimekwenda
A way forward ni kuwa kitu kimoja CDM kuna shutma zinaizonga pengine ni propaganda tu za wenye kuchukia maendeleo ya CDM lakini hakuna hata siku moja CDM imekanusha au kutolea maamuzi ambayo yatawafanya watu wapuuze shutma hizo.
1. Kuwa CDM ni chama cha kikanda na hata wabunge wake wengi ni wa kutoka kanda fulani.
2. CDM ina mkono wa kanisa (hapa nakumbuka shutma dhidi ya CUF wao walikuwa wanazikanusha ila kwa bahatio mbaya au sijapata kusikia popote CDM wakikanusha hili)
Mabadiliko yatapatikana watanzania wakiwa wamoja bila kujali kanda zao/koo zao wala dini zao je CDM wapo tayari kuonyesha njia?
Acha kuidanganya nafsi yako.Niko njombe jirani wa madam spika nazihitaji sana na kwa wingi. Nina wanafunzi zaidi ya mia sita pia wanazihitaji.Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
salute kwako kiongozi,mtu umepewa akili,ufaham na utashi stil hata analysis ndogo kama hz mtu anashindwa kufanya...eti anasubiri chama kikanushe,what for.?Mwanzo wa kitu huanzia location fulani, hata CHADEMA kilianzia kaskazini au waasisi wake wametoka kaskazini na wangeweza toka kusini au mashariki tatizo lako nini hapo. Basi chama kikianzishwa na watu wa kusini kitaitwa cha kanda ya kusini , Mashariki n.k? Na kama ni cha kikanda je kuna mtu toka kanda nyingine alishazuiliwa kuwa member simply haruhusiwi?. Hiv Mch. Msigwa , Sugu, Wenje, Mnyika woote ni wa kanda ya kaskazini? Hv Halima Mdee, zitto Zuberi Kabwe na wale wajumbe wa zenji ni Wakristo. Mkuu some time kama great thinker unatakiwa ufanye utafiti mwenyewe na siyo ku-support watu wa vijiweni; ukweli unatakiwa uwape ukweli na si wewe nawe kujichanganya na ujinga wakati we una maujanja na uwezo wa kupangua ujinga.
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
Mwanzo wa kitu huanzia location fulani, hata CHADEMA kilianzia kaskazini au waasisi wake wametoka kaskazini na wangeweza toka kusini au mashariki tatizo lako nini hapo. Basi chama kikianzishwa na watu wa kusini kitaitwa cha kanda ya kusini , Mashariki n.k? Na kama ni cha kikanda je kuna mtu toka kanda nyingine alishazuiliwa kuwa member simply haruhusiwi?. Hiv Mch. Msigwa , Sugu, Wenje, Mnyika woote ni wa kanda ya kaskazini? Hv Halima Mdee, zitto Zuberi Kabwe na wale wajumbe wa zenji ni Wakristo. Mkuu some time kama great thinker unatakiwa ufanye utafiti mwenyewe na siyo ku-support watu wa vijiweni; ukweli unatakiwa uwape ukweli na si wewe nawe kujichanganya na ujinga wakati we una maujanja na uwezo wa kupangua ujinga.
A way forward ni kuwa kitu kimoja CDM kuna shutma zinaizonga pengine ni propaganda tu za wenye kuchukia maendeleo ya CDM lakini hakuna hata siku moja CDM imekanusha au kutolea maamuzi ambayo yatawafanya watu wapuuze shutma hizo.
1. Kuwa CDM ni chama cha kikanda na hata wabunge wake wengi ni wa kutoka kanda fulani.
2. CDM ina mkono wa kanisa (hapa nakumbuka shutma dhidi ya CUF wao walikuwa wanazikanusha ila kwa bahatio mbaya au sijapata kusikia popote CDM wakikanusha hili)
Mabadiliko yatapatikana watanzania wakiwa wamoja bila kujali kanda zao/koo zao wala dini zao je CDM wapo tayari kuonyesha njia?
Bado kidogo na mbunge wa jimbo la hapo kwenye redi atapoteza kiti chake...Habari ya asubuhi rejao, Umeamka, Sasa tunakuandalia dozi yaa mkono wa kushoto. Ila kabla ya dozi umesahau kiwira, songea mbeya, iringa, mwanza ubungo na kawe. Amka polepole.
wewe mbona hueleweki? mara wewe ni mwalimu wa mtwara, mara kigoma, sasa hivi upo Njombe!!Acha kuidanganya nafsi yako.Niko njombe jirani wa madam spika nazihitaji sana na kwa wingi. Nina wanafunzi zaidi ya mia sita pia wanazihitaji.
Moto umeshaunguza nyumba nzima wewe jidanganye kuwa chumbani kwako haujafika.
Tunamuonea huruma Lema...jeuri yake ataipeleka wapi??rejao bhana! Teh teh! Sounds so pathetic jamani! Hata km ngumu kumesa...jikadhe!
Tunamuonea huruma Lema...jeuri yake ataipeleka wapi??
Kama siyo leo lini, kama siyo wewe nani, ni Sisiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..................TWAWEZAeace:
Ficha upumbavu wako, usifiche hekima yako.Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
Lema alipata kura 2010 kwa sababu watu walikuwa hawamfamu. Kwa kipindi hiki cha mwaka na nusu watu wamemfahmu Lema ni mtu wa aina gani. Wameona matatizo aliyowaletea, vurugu za kila siku na kurudi nyuma kwa maendeleo ya Jimbo la Arusha mjini. Kwa sasa hawawezi kurudia tena kosa walilolifanya 2010. Watu wengi sana wamefurahia uamuzi wa maahakama...at last wameondoka na matatizo!!CCM mnajitekenya alafu mnacheka wenyewe.
Lema ni mbunge wa kudumu Arusha mjini, mtake msitake.
Leteni mapesa arusha tule CCM tukalale Chadema.Tunamuonea huruma Lema...jeuri yake ataipeleka wapi??
Tehe tehe tehe tehe! Kwi kwi kwi kwi kwi. Hapa arusha mjini CCM hamna chenu Rejao, hata kama chadema watasimamisha jiwe litapita kwa kishindo! Tunawasubiri kwa hamu kubwa! Natamani uchaguzi ungekuwa kesho!Lema alipata kura 2010 kwa sababu watu walikuwa hawamfamu. Kwa kipindi hiki cha mwaka na nusu watu wamemfahmu Lema ni mtu wa aina gani. Wameona matatizo aliyowaletea, vurugu za kila siku na kurudi nyuma kwa maendeleo ya Jimbo la Arusha mjini. Kwa sasa hawawezi kurudia tena kosa walilolifanya 2010. Watu wengi sana wamefurahia uamuzi wa maahakama...at last wameondoka na matatizo!!