Naomba ufafanuzi kidogo je kuna nafasi ya Lema Kugombea tena kwenye uchaguzi utakaoitishwa?
lete Data zote na kiasi gani kinatakiwa
kichangwe. halafu andika thread yenye maelezo
zaidi na si mstari mmoja tu .. Nimeshuhuhudia na nimekusanya
michango kutoka kwa wana JF kumsaidi mtu ambae hata hakuwa
member hapa. Na ni wengi sana walijitokeza na kumsaidia ...
Ila watu watahitaji maelezo zaidi ya mstari mmoja..
Asante.. Easter njema.