Recent content by mdetichia

  1. mdetichia

    Urafiki Wa Gwajima, Seif Na Lowassa. Ulianza Lini? Je Ni Wa Dhati? Una Maslahi Yoyote Kwa Taifa?

    Akili zako ndipo zinapoishia kwani wakimbizi hao mpaka uje useme urafiki wa maslahi ama kweli nimeamini kuna waliosoma kuelewa na waliosoma na kuelimika sasa hao watu watatu wakiwa marafiki inatuadhiri vipi sisi wa Tanganyika zaidi ya milioni 45? Ficha ujinga wako
  2. mdetichia

    Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall

    Siku ya mwisho kila mtu ataubeba msalaba wake ila malipo ni hapa hapa duniani Mtoa hukumu ni Mungu binaadamu mbwembwe tu
  3. mdetichia

    Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall

    Kuna utafiti ulifanyika kwenye nchi zenye uelewa mpana wa kifikra ukaonyesha Tanzania inaongoza kwa kuwa na watu wanafiki aisee jamaa hawakukosea kabisa hata kwenye Biblia imeandikwa Heri kuishi na mchawi kuliko mnafiki mpo wengi sana
  4. mdetichia

    Mafuriko yaikumba gari, jamaa aifanyia maombi

    Halikusombwa gari lilibaki pale pale mpaka maji yakapungua kabisa hakuna jina lilipitalo majina yote kama jina la YESU KRISTO ukilishika na kumwamini jina lake linaweza hamisha milima imani ndugu
  5. mdetichia

    Nini tafsiri ya kushangiliwa kwa Lowassa msibani Arusha?

    Wewe ako na utu mnafiki wewe
  6. mdetichia

    Mhe. Lema, vazi la msiba ni suti nyeusi na miwani, sio gwanda la CHADEMA

    Ndugu hao waliovaa nyeusi huku wakiwa na vinyongo mioyoni mwao heri huyo aliyevaa kaki huku roho yake ikiwa nyeupe kama sufi
  7. mdetichia

    Mhe. Lema, vazi la msiba ni suti nyeusi na miwani, sio gwanda la CHADEMA

    Ndugu hao waliovaa nyeusi huku wakiwa na vinyongo mioyoni mwao heri huyo aliyevaa kaki huku roho yake ikiwa nyeupe kama sufi
  8. mdetichia

    Swali la Lazima: Kwanini Mmiliki na Mkuu wa Shule ya Watoto Waliokufa Bado Wako Huru?

    Kweendraaaa na u.s.a wako hizo gari zenyewe ukiingia ndani zingine zina matobo mpaka unaona lami mimi huwa nawashaangaa sana Traffic wa Tanzania akishakamata gari yeye anasimama nje kuangalia ndani hawaingii yaani ni balaa huku kwetu bado sana
  9. mdetichia

    Brother Mo Dewji, seriously??

    Chawa wanawasha jamani
  10. mdetichia

    Kwanini mara nyingi watoto huwa hawalii kwenye misiba?

    Huwa wanaamini amelala atarudi siku nyingine na kuna wengine huwa wanauliza atarudi lini
  11. mdetichia

    Amini usiamini wachawi wana kipindi kigumu sana

    Naweza kuamini haya Mshana junior kuna jamaa alinisimulia kama una mtoto mchanga na mtaani kwako kumezungukwa na wanga basi chumbani kwako usikose ndoo yenye maji safi halafu iwe wazi ila kila siku uwe unayabadilisha nilichoka
  12. mdetichia

    Tahadhari kipindi cha mvua

    Asante mdau ningependa kuuliza je kama eneo mlilofunga mita pale mlipopitisha mstimu wenu mvua ikinyesha kubwa huwa panatiririsha maji ila miter ipo kwenye kibox je inaweza leta short?
  13. mdetichia

    Vifo vya Wanafunzi Arusha: TBC mmetutia Aibu kubwa

    Unajua maana ya live mdau na record
  14. mdetichia

    TANZIA: Mwanachama mwenzetu, PakaJimmy amefiwa na mwanae ajali ya basi Arusha

    Daaah pole sana wafiwa wote Hakika Mungu ni mwenye rehema atawapa mioyo ya ustaimilivu na faraja
Back
Top Bottom