habari ndugu zanguni;
napenda niwafaham tabia za hawa ndugu zetu kidogo
kwani nilikuwa nampenz flan tukazinguana kwakuwa mi nilikuwa naharakat flan za shule akatafuta namna yakuniumiza akawa anatoka namchz wangu wakarbu akawa anamuhonga ile mbaya kusudi mchzi asiruke,basi ikawa hvyo nkirud...
nikaribisheni ndugu zangu
Nauhakika sijakosea njia kuingia jf kushare na ninyi wenzangu info', na mengi ambayo tunajaaliwa
nimeyapitia mashart vizuri naamini ntaweza kwani sina lengo baya lolote!
Naomba mnipokee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.