Wa2 wanalalamika mishahara ya ualimu haitoshi, nawe wataka kujiunga huko kwenye dhiki.
sasa hvi wa2 wanaangali wapi kwenye maslahi zaidi, nibora ukapata hicho hicho kidogo kuliko kukosa kabisa, 2meona wa2 wangapi NA ma degree yao wameishia mtaani , mi nadhani EDUCATION IKOPOWA