Braza wacha kuzungumza vitu usivyovfaham halafu uviite :facts: unanipa mashaka xana juu ya uelewa wako ktk hyo terminology ya facts...Kwa msaada juu ya Majeshi ya Tz chukua KATIBA ya nchi(tanzania) uangalie kipengele cha majeshi naamini ulichopost badala ya kukiita facts utakiita gossip! Pole...
wewe ni mdada mwenye mihela mingi achanana hiyo tabia ya kuweka mafuta nusunusu kwa gari bhaana yatakutokeaga puani kama ulivyoona.....the fault was urs mamaa coz kwanza huna ushahidi kma uliibiwa au lah....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.