Watu wa mbeya sio watu walioproud na mkoa wao bro hata in real life tu unaona tofauti na watu wa arusha au mwanza
Watu wa mbeya hawaupiganii mkoa wao kuna msemo unasema charity begins at home 🏡
Arusha wamepata uwanja mdogo wa ndege juzi lakini mitandaoni kila siku habari ni hiyo hiyo
Mbeya...
Kiukweli kabisa Arusha pazuri kuliko Goma
Goma Kimajengo ni kama moshi au iringa tafuta video za moshi au iringa uone zilivojengeka na mpangilio ila Goma ni kubwa na ina watu wengi mno
Maji ya Arusha na Kilimanjaro yanaweza kuwa na fluoride nyingi inayoozesha meno lakini ndio maji matamu kuliko yote kama hujawah kuishi Arusha unaweza usielewe ila ukifika mikoa mingine utagundua Haina taste kama ya Arusha na sio bia tu hata coca ya Arusha au Kilimanjaro ni tamu kuliko ya dar au...
Maji ya Arusha na Kilimanjaro yanaweza kuwa na fluoride nyingi inayoozesha meno lakini ndio maji matamu kuliko yote kama hujawah kuishi Arusha unaweza usielewe ila ukifika mikoa mingine utagundua Haina taste kama ya Arusha na sio bia tu hata coca ya Arusha au Kilimanjaro ni tamu kuliko ya dar au...
Na hilo eneo ni la mji mpya wa burka nje kidogo ya mji ni jirani na uwanja mpya wa afcon na eneo linaitwa afcon city ambalo limeshapimwa lote na km 2 tu kufika airport unafika dar au nairobi
Oya Arusha ni Switzerland kabisa hii😂😂ukizoom hiyo video nyumba zote ni angalau ghorofa moja
Hawa watu wa ziwani wanatafuta furaha wakiangalia Zanzibar sa hivi imekua ya moto, Dodoma ndio Kila mradi upo huko wanatafuta pa kujifichia wanaona wajaribu kwa Arusha wakiangalia utalii na mikutano nayo umerudi wanapotea kwenye comment
Mwanza ni level ya Mbeya tena kwenye Gdp Bado Mbeya iko juu 😀😀
Arusha ina media coverage kubwa lakini content za Arusha zinatrend zaidi hivyo huwa kivutio kwa waandishi hasa watu wa Arusha wanavoongea lafudhi lakini Arusha pametulia kuliko unavodhani juzi imetoka Mikoa yenye matukio mengi Wala sio Arusha so hizo ni media tu ukiishi Arusha ni tulivu mno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.