Hata walipokuja kipindi cha Utumwa hapa Africa, mwarabu alionesha jinsi alivyo maana alimchapa mwafrika kwa bakora na kumtumikisha sana.
Poleni sana wanafamilia mliopatwa na hili janga.
Inaonekana ilikuwa raha wengine kama mie wala sijawahi kukanyanga Moro ila inaonekana Moro ilikuwa tamu sana.
Natamani ningekuwa Moro nijionee mwenyewe kipindi hicho
Haha haha haha haha haha kwa kweli shemeji bora awe na wasiwasi maana kwa hii style ya kutumbuana majipu mtu unaweza ukaumbuka mjini.
Nashukuru kwa ufafanuzi wako nimeelewa.
Unajua nlichoona ni kuwa viongozi wengi siku hizi wanacheza na vyombo vya habari kupata umaarufu au kutaka kuonekana...
1. Wafanyabishara nao wamepata wapi mamlaka ya kuficha sukari?
2. Je ni kifungu gani cha sheria kinamruhusu mfanya biashara kuficha sukari?
Yaani mie ndo hapa najishangaaga sijielewi au nalazimisha kutokuelewa.
Kable sijajibu swali lako nakwama katika maswali yangu hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.