Watz roho mbaya halafu wanapenda kujifanya wanajua kumbe hawajui lolote, Diamond ukienda nchi yeyote ya kiafrica hakuna asiyemjua, wanaimba nyimbo zake na kucheza kuliko sisi watz, juzi nilikuwa kongo magari ya matangazo yanapita yanapiga nyimbo za Diamond tuu na watu wanacheza mbaya, huko...
Inamuhusu nini? Kwani clouds si walikuwa wanajikomba wenyewe, kweli dai ni bonge la superstar akionekana kama yupo upande flani hivi watu wanapata vichaaa
Hamna lolote mnachochea ili atumbuliwe, mumchukue mkamtakase sijui huwa mnawatakasa na nini vile...........mtaanza kutuaminisha tena kwamba ameonewa na ana vyeti mpaka vya university........bado sijasahau ya lowasa
Mama yake alikuwa housegirl wa mzee kimambi, baada ya kupata mimba ya karumange alipotelea uzaramoni, aliyemshawishi mzee kimambi akamchukue karumange huko uzaramoni ni rafiki yake mzee Dimando.....alichukuliwa akiwa na miaka 12, baada ya hapo alisomeshwa huko zimbabwe, chuo alisoma online...
Acha wivu wa kike, dai ana uwezo mkubwa kukushinda, ni kijana mdogo katoka kwenye zero to hero, from tandale mpaka sasa karibu dunia nzima inamjua..... halafu unasema uwezo wa kufikiri ni nini?.....
Ni loser........hana lolote....habari zenyewe huwa anatumiwa na maloser wenzake.....haeleweki anasimamia upande upi.... wakati wa uchaguzi alimtetea sana rais.... alimpa kila sifa...nadhani alijua JPM akiingia akiwa rais atapata chochote.......alimtukana lowasa na upinzani matusi...
Nyie ndio washabiki maandazi msiojielewa, mond alianzaje hilo bifu? Na aliyezima mic mombasa sio ssalam tena ni babu tale? Ukweli ni kwamba huyo kibakuli anajua kwamba bifu likiisha kati yake na mond atapotea kabisaa hatasikika tena kama alivyokuwa amepotea, yeye ndiye aliyeanzisha bifu na ndio...
Mbona alikuwa anachepuka na shoga yake, na alibisha mpaka waliporusha picha zao..... hana cha ufbi wala ucia.... Tz ukitaka habari zozote unapata tuu, kuna watu wanajifanya wanajua kila kitu...madaktari wao, lawyers wao, wanasiasa wao....na ndio hao ambao humtumia huyo mange hizo habari
Zari ana ubibi gani? Mwangalie tangu alipokuwa binti mdogo alikuwa anajitambua, na ndio sababu aliweza kuwa na ivan na kuwa na familia bora, japo zari sio bibi ila huyo wema atakapokuwa bibi atakuwa amechooka na unga....... we mtu una kashfa za kubwia unga, kampuni gani itakutaka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.