Recent content by mdakeo22

  1. M

    PreGE2025 G55 Moshi na Temeke waondoka CHADEMA

    Kuna watu niliwaambia Tundu Lissu hana uwezo wa kuwa kiongozi wa chama cha siasa! Anaweza kuongoza taasisi nyingine lakini sio ya kisiasa! Nadhani sasa hivi watakua wameanza kunielewa!
  2. M

    PreGE2025 Lembrus Mchome: Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli ni dikteta uchwara

    Tundu Lissu ni mwanaharakati, ni mpambanaji! Mtu mwenye sifa hizi hutawaliwa na hasira, visasi na malipizo. Ni maskini wa busara na hekima. Mwanaharakati siku zote ni ngumu kukubali ushauri ulio kinyume na falsafa yake hata kama ushauri huo una manufaa.
  3. M

    Simbachawene: Ripoti zinaonesha zaidi ya 40% ya Watumishi wa Umma Tanzania hawafanyi kazi

    Baba mwenye nyumba ana watoto kumi, anasema kati ya hao kumi ni sita pekee ndiyo wenye manufaa kwake, wanne waliobaki ni hasara. Je hao wanne achukue hatua gani? Aendelee kuwalisha na kuwahudumia labda kuna siku watabadilika au awafukuze wakafie mbele ya safari? Mpe ushauri baba mwenye nyumba.
  4. M

    Kwa heri Chadema, sitakuwa siwezi kuwa chawa wa kumsafishia njia Samia

    Tundu Lissu ni mtu msomi, jasiri, mpambanaji kiufupi ni mwanaharakati lakini kuna kitu kimepungua kwake na hiki ndio kinamfanya akose sifa ya kuwa kiongozi mkuu, yaani mtu mwenye kuamua hatima ya kundi..... Uongozi wa kundi au taasisi pamoja na mambo mengine, BUSARA na HEKIMA ni mambo muhimu...
  5. M

    Mwambieni Nape Mwenyezi Mungu kaamua ugomvi na sasa Bahari ipo shwari

    Marehemu Moses Nnauye alikua swahiba mkubwa wa mzee Yusuph Makamba. Leo January Makamba na Nape Nnauye wamepumzishwa benchi! Je kuna uhusiano wowote katika hili?
  6. M

    Rais Samia na wewe unafanya ya Magufuli kuwanunua wapinzani?

    Ni haki yake kikatiba kujiunga na chama anachokipenda ingawaje kwa mtazamo wangu huu haukua wakati muafaka kufanya hivyo! Je ni kwa sababu ameukosa uenyekiti? Je amenyimwa haki ya kukata rufaa na chama chake hivyo inaonekana hakuna demokrasia ndani ya chama chake? Au ndio zile pesa...
  7. M

    Rais Samia azindua kiwanda cha Saturn Corporation Limited Wilaya ya Kigamboni jijini Dar es Salaam, leo Mei 9, 2024

    Hakuna shida ya nani anamiliki Jambo la muhimu ni kuangalia kama taifa tunanufaikaje na uwekezaji huo! Kodi italipwa hivyo taifa linanufaika Ajira kwa watanzania ndio la muhimu Mazingira yatalindwa ili kuzuia uharibifu Jamii zinazozunguka kunufaika na uwekezaji! Tumpe muda mwekezaji kisha...
  8. M

    Serikali ipitie upya Sheria ya 'Mikopo ya Mtandaoni (Online)'

    Walinitumiaga msg wanamdai jamaa mmoja hv, nikawauliza mbona mlipomkopesha hamkunishirikisha, asa hv mnamdai ndio mnanisumbua, mkome!
  9. M

    PreGE2025 Rais Samia atenga siku moja kila mwezi kusikiliza kero za watanzania

    Maoni yangu kwa jambo hili. Mh rais ana wasaidizi wengi sana kuanzia ngazi ya mtaa/kijiji mpaka huko taifa. Suala hili angetafuta namna nzuri zaidi ya kuendana nalo iwapo anahitaji kufanya hivyo ila sio kwa njia hii anayotaka kuitumia maana itamchosha sana na haiwezi kuwa effective hasa...
  10. M

    TANZIA Mwana-JamiiForums, Thadei Ole Mushi afariki dunia

    Mbona nasikia amefariki, nmeona huko fb
  11. M

    Rais Samia: Vijana hawaoi na wala kuolewa kuna tatizo kwenye jamii ya kitanzania

    Wasichana wa leo hawana mapenzi ya kweli, wanapenda pesa zaidi. Mtoto wa kike akitongozwa leo, analeta bajeti ya matumizi yake hata kabla siku haijakwisha. Vijana hawana pesa, hawana ajira, hawana mitaji halafu atokee mtu anamuomba pesa! Ndio akipata japo buku tano anakimbilia kwa dada poa...
  12. M

    Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

    Kazi ipo!!! Nchi yetu ina watu wengi sana, serikali yetu haina uwezo wa kuwahudumia watu wake kwa hali itakayoweza kumridhisha kila mtu. Watumishi wa kada ya afya ni wachache sana kulinganisha na wingi wa wateja, na hapo hapo wengi wao sio waaminifu katika utendaji wa kazi zao Vifaa navyo...
  13. M

    Ester Bulaya: Mwenyekiti wetu wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitualika na Halima Mdee tuhudhurie hafla ya kuchangia kanisa Machame

    Tofauti zao ni za kisiasa, kwenye masuala mengine ya kijamii tunabaki kuwa kama ndugu! Mbowe ana akili sana, kumuelewa inahitaji uwe na akili kumzidi yeye vinginevyo utaumiza kichwa.
Back
Top Bottom