Recent content by mcyawn

  1. mcyawn

    Rais Magufuli apiga Marufuku kuingiza Sukari toka Nje

    Sukari sio kwa ajili ya kunogesha chai Na uji Tu, sukari pia Ni malighafi ya viwanda vingine. Pharmaceutical grade sugar kwa ajili ya syrup Na suspension manufacturing (ambayo ndio pekee inayoruhusiwa kutumika kutengenezea dawa Na TFDA) haizalishwi Na viwanda vya ndani. Hapa pagumu
  2. mcyawn

    TIB Development Bank wbsite

    Wadau, ni kompyuta yangu tu au website ya TIB Development Bank imefungwa?? Napataje habari kuhusu huduma zao??
  3. mcyawn

    Kwa hili la kina Madabida na TPI, Nipashe wamechemka na ukweli wazushi

    Mkubwa umeandika madudu, na inavyoonyesha hii issue hata huijui, kwetu uswahilini wanasema umedandia treni kwa mbele. Kiwanda cha dawa hakitengenezi dawa aina moja tu, eti kuitwa kiwanda cha ARV iwe ni sababu ya kutotengeneza dawa kama Antimalarials, Anti-TB, Analgesics na kama hizo. Sukari...
  4. mcyawn

    Kwa hili la kina Madabida na TPI, Nipashe wamechemka na ukweli wazushi

    Drsiraha unapoteza muda wako, JF imejaa watu wa ajabu sana. Hawatu,ii mantiki katika uchambuzi wa mambo. Wengi wao ni "jacks of all trades", wanajua kila kitu. Hata wakipata mtaalamu akawaeleza jambo bado hawaelewi. Kuna habari za kufuatilia na kuzingatia; katika hizo si hii ya Nipashe. Lugha ya...
  5. mcyawn

    TFDA Failure isiwe kufunga viwanda

    Hivyo vidhungu vyako havijajibu hoja zangu, endelea kuniona unavyoniona...I stand for justice, kuna kitu kinaitwa MANTIKI, na kwa aina ya maongezi yetu so far unaonyesha unaweza kufikiri kimantiki, ila "Mpe mbwa jina baya kisha muue" ndo mshaamua mloamua kuwa TPI wabaya, na basi hata hamsubiri...
  6. mcyawn

    TFDA Failure isiwe kufunga viwanda

    Nimecheka kishenzi, serously!! Hiyo statement yako ya mwisho ni statement ambayo haina tatizo ndani yake, tatizo mlilonalo wabongo ni kuwa hiyo statement mnainyumbulisha into "TPI manufactured fake ARVs" kutengeneza na kuuza dawa ni vitu viwili tofauti, hizo dawa zilizokutwa ndani ya vifungashio...
  7. mcyawn

    TFDA Failure isiwe kufunga viwanda

    Huja-address issue nilizozingumza hapo kukueleza kuwa huo ni uongo uliousema, unasema kukaa kwa muda mrefu kwa dawa katika bohari la MSD kuna maelezo yake, hebu nipe basi japo kwa kukisia, kutakuwa na nini?? Maana umekuwa bold mpaka kusema kwa uhakika kuwa TPI management ndio waliofaidika na...
  8. mcyawn

    TFDA Failure isiwe kufunga viwanda

    Hayo maelezo ni uwongo kwa sababu: 1.) Utawala hauhusiki moja na kufungasha dawa, kuna wafanyakazi walioajiriwa kwa kazi ya kufungasha dawa. 2.) Hakuna kauli yeyote ya kuthibitisha uwepo wa ushahidi kuwa TPI waliingiza dawa nchini kwa nia ya kufungasha ili waiuzie MSD 3.)Kama kweli TPI...
  9. mcyawn

    TFDA Failure isiwe kufunga viwanda

    Ongea ueleweke, wengine umombo tabu
  10. mcyawn

    TFDA Failure isiwe kufunga viwanda

    MVUMBUZI endelea na utafiti, uchunguzi na yanayofanana na hayo...hapo nilipobadilisha rangi katika maelezo yako ndipo penye tatizo kubwa katika sakata hili. Hakuna, narudia tena HAKUNA hata sehemu moja katika maelezo ya DG wa TFDA yaliyozungumzwa kuwa TPI walitengeneza dawa husika. Kusupply dawa...
  11. mcyawn

    Sababu ya Man Utd kubebwa hii hapa

    Kama kubebwa rahisi, so mbebwe na nyie!! Watu mkibebwa mnanyea mbereko halafu mnakuja kulalamika huku...
Back
Top Bottom