Recent content by Mcp12345

  1. M

    Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

    Please rudi mammy...njoo hata dm...mnaendeleaje?
  2. M

    Ni jambo/kitu gani ungependa kubadilisha kuhusu wewe

    Natamani sana tabia ya wivu wa kimapenzi ingeniisha...yaani ningeishi na amani sanaduniani
  3. M

    Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

    Pole sana ndugu..je umeoa? Una watoto? Huyo mwanamke ni mfanyakazi au hajishughulishi? Tuliza sana kichwa katika kipindi hiki..subiri akizaliwa mtoto utapata. Majibu ya mashaka yako
  4. M

    Trapped to a married man

    Nipo kwenye ndoa mwaka wa 12. Usijidanganye kufanya siri eti utamuumiza mke wa jamaa. Trust me, anafahamu uwepo wako labda tuu awe hakufaham kwa sura na jina. Inawezekana huyo mama ameshazoea tabia za mumewe kabla hata ya kukupata wewe ndio maana haoni jipya.. Niseme tuu ukweli...sisi wanawake...
  5. M

    Nimemkosea sana mke wangu. Ushauri wenu tafadhali

    Mimi nadhani kwa zamani ilikua rahisi...ila siku hizi..sidhani.mke atajua tuu..labda mchepuko akiwa anapiga na kutuma sms mke anaweza fahamu..kwa sababu kwa vyovyota lazima awe anawasiliana na mchepuko kupata maendeleo ya mtoto..
  6. M

    Mwanaume uliza swali lolote hapa, sisi wanawake wa MMU tukujibu

    Hapa ndugu yangu kua tuu mvumilivu..hiki ni kipindi ambacho mkeo anapitia maumivu makali ya kihisia..usilazimishe sana..atapona taratibu with time...lakini wewe ndio unatakiwa umsaidie katika kipindi hiki especialy kama mtoto huyo alipatikana baada ya ndoa yenu..jaribu kumueleza kwa utaratibu...
  7. M

    Tukutane hapa tuliowahi kuibiwa na wanawake guest house

    Dah...dar street moshi niliishi miaka ya 98 huko
  8. M

    Nimegundua ameni-cheat kwa miaka 3 mfululizo, nifanyaje?

    Kwakweli nashindwa kukushauri..ila ngoja nijaribu.. Kwa uzoefu wangu, naona ndoa yenu haitakua na furaha kabisa..maamuzi magumu inabidi yachukuliwe for the sake of amani ya mioyo yenu..jambo kubwa kabisa linaloletaga mpasuko kwenye ndoa hua ni kukosekana uaminifu halaf ndio na mengine hua...
  9. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ahsante sana mkuu...yaani umeongea kama unafaham situation halisi..umbumbumbu wa mahusiano ulitaka kunipeleka pabaya...halaf wengi wameguswa na tiny dick..hahaha...nimesoma makala mbalimbali zinazoelezea maumbile ya sexual ograns kumbe suala la mtu kuridhishwa has got nothing to do with size ya...
  10. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kweli kabisa mkuu...lets assume wife ake yuko happy na anaenjoy... Kuwashwa ilikua ni allergic reaction to yale mafuta ya kinga. Suala la kutaka kua karibu nae ni kwavile kitendo kilishatendeka so nikaona labda kunaweza kua na uhusiano nikaja gundua hilo halikua kwenye mipango yake.
  11. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Team vibamia mmekasirika sana..eleweni sina chuki na ninyi.
  12. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hujakosea....ni zaidi ya bwawa la mtera
  13. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sio jaba la maji tuu...nina bwawa ndugu yangu
Back
Top Bottom