darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,719
- 16,932
Braza, huyu katoka mkoani,Soma vizuri baada ya kumaliza chuo ndio kapata kazi mjini.Hahahahaaaa!!!wanaume wa Dar ungekua kaka angu ungekula vibao lofa wwee(nsamehe mmekuita lofa ila nafikiri Niko sahihi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu 'lofa' uliemsema anawawakilisha