CCM kufa ni lazima ila inaweza kuchelewa kufa lakini kifo, kiko pale pale. Nyerere mwaka 1995 aliwaambia kamati kuu ya C.C.M kwamba watanzania wanahitaji mabadiliko na wasipo yapata C.C.M watayatafuta sehemu nyingine.Mabadiliko yameanza Tanzania na huwezi kuyazuia.
Watanzania watayatafuta...
Jamani tuwe tunaweka post za maana kama hatuna cha maana tulale.Wewe unapanga ambao hawatarudi bungeni wewe ni Mungu.Je ukisema fulani hatarudi halafu akarudi utaficha wapi uso wako.
Kuna watu wanasifiwa lakini hakuna chochote cha maana ambacho washawahi kufanya.Rose Migiro hana nguvu yoyote ya kisiasa ila historia yake imebebwa na Kikwete.
CHADEMA tunavyotaka kuchukua dola hili ni muhimu lifanyiwe kazi.CHADEMA tumetegemea sana watu binafsi na hili linaweza kutugharimu.Mfano sio jambo la kujivunia kusema ofisi ya mkoa ya CHADEMA ilikuwa sebuleni kwa mtu.Viongozi jitahidi kwa hekima muhakikishe chama kina ofisi zinazoeleweka...
Katika maisha huwezi kupanda kwenda juu bila kukutana na mtihani. CHADEMA inapitia kwenye mtihani. Ambao najua viongozi wakiwa makini wataushinda na watapanda juu kuliko watu wengi wanavyofikiria.
Na pili niwatahadharishe watu wengi wanaoongea sana juu ya Zito na CHADEMA.Utakuja kushangaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.