GreenHouse
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 280
- 262
Nauza kuku Chotara wapatao 45 kwa bei ya kutupa kabisa Sh300,000/= Hii ni sawa na kama 6,600 kwa kila kuku... Kuku wana umri wa Miezi minne na nusu na baadhi miezi mitatu na nusu, wamechanjwa chanjo zote, wana afya nzuri kabisa, hawana ugonjwa wowote. NB: Majogoo ni mengi kuliko Matetea (japo sijawahesabu mmoja mmoja kujua Namba kamili ya Matetea na Majogoo).
Nauza wote kwa jumla kuclear stock ya kuku na kuingiza new breed.
Kuku wapo Kigamboni Dar Es Salaam.
Kwa mawasiliano piga simu namba 0714 881 500
Atakayenunua ntamletea mpaka alipo kokote Dar Es Salaam Bure kabisa.
Nauza wote kwa jumla kuclear stock ya kuku na kuingiza new breed.
Kuku wapo Kigamboni Dar Es Salaam.
Kwa mawasiliano piga simu namba 0714 881 500
Atakayenunua ntamletea mpaka alipo kokote Dar Es Salaam Bure kabisa.