Recent content by mchungaji7

  1. mchungaji7

    Hivi humu JF kuna wachungaji?

    Tupo chamaDola, kama unachchte tueleze au tushauri
  2. mchungaji7

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    espy Mungu akubariki lkn kuna wengine wapo kwaajili ya kupinga tu ....chukua points za msingi huyo anayepinga muache alivyo maana waweza kujikuta anakukasirisha
  3. mchungaji7

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    Hilo ni kweli lkn hakuna sababu inayohalalisha dhambi
  4. mchungaji7

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    Utukufu kwake yeye atufunuliaye yaliyo sirini kwa lengo la kutuepusha na maangamizi
  5. mchungaji7

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    Sawa kaka kila la kheri ktk kuchagua kwako lkn kumbuka Mungu hazihakiwi chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna wewe zini sana utapata malipo kulingana na matendo yako
  6. mchungaji7

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    Kuna jehenamu na peponi una Uhuru wa kuchagua pa kwenda
  7. mchungaji7

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    Hilo ni andiko LA kwenye biblia..akili ya kupambanue lipi jema na lipi baya
  8. mchungaji7

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    Hujalazimishwa kuacha , hata kama ukweli una uma lkn ndiyo dawa ya kukuponya na hayo maisha machafu Aziniye na mwanamke hana akili kabsa .....
  9. mchungaji7

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    Usiwe na haraka ya kusema usilolijua
  10. mchungaji7

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    Aziniye na mwanamke hana akili kbsa afanya jambo litakalo iangamiza nafsi yake
Back
Top Bottom