*TAARIFA* *KWA* *UMMA*
Kampuni ya Hopegen Tanzania, inakanusha taarifa za uzushi na zenye lengo la kuleta hofu kwa jamii ya wanataaluma nchini Tanzania. Mkurugenzi wake mkuu Ndugu NGAIZA LUSIMA ni mzima na mwenye afya tele na anaendelea na majukumu yake kama kawaida. Kampuni itachukua hatua za...
Ndugu yangu,katika shule za Kikatoliki kila mtumishi ni Mlezi.Na hili ndilo jambo linaloziweka shule hizi kuwa tofauti na zingne.Watoto wanafundishwa kuheshimu kila myu kuanzia mfagizi mpaka Mwalimu mkuu.Kila mtumishi anapewa jukumu la ulezi pasipo ubaguzi wa Kielimu!
Nimejisikia vibaya sana...
Mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania na Duniani ni Papa. Hakuna Askofu mwingne zaidi ya Askofu Mkuu wa Roma yaani Papa anaekua mkuu wa Kanisa katika Nchi yoyote au bala lolote.
Kutoka Papa inafuata level ya Jimbo na Mkuu wa Jimbo ni Askofu mahalia.
Hakuna Cheo cha Mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania...
Kama hulifahamu kanisa takatifu na mfumo wake wa kiuongozi ni heri ukae kimya kuliko kupotosha.
Mfumo wa Kanisa katoliki umegawanyika Kutoka Duniani down to Archdioceses(Majimbo Makuu) yanayoongozwa na Maaskofu Wakuu then Dioceses(Majimbo) yanayoongozwa na Maaskofu wa Jimbo.
Hivyo basi hakuna...
Hongera mzee,hakika kama mtu kafaulu kwa nini alie lie...juzi kuna mmoja ananitafuta ana Div.2 anaulizia MUHAS,jibu langu likawa aombe Mungu waliofaulu vizuri zaidi yake wasiapply MUHAS ndio ataipata[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikurekebishe katika mambo mawili,
1.Sio kweli mwaka huu ndio mbinde kuingia chuo kulinganisha na miaka yote,early 80's and 90's vyuo vikuu vilikua vitatu tu yaani UDSM(+MUhimbili as college),SUA na Mzumbe(For In services).Hivyo ilikua wanaoingia ni wenye ufaulu mkubwa sana.
2.Hao...
Acha kuongea kishabiki,naomba hata ambao hatukufanikiwa kufika UDSM tusikiongelee chuo hiki kwa chuki za wivu.
Kozi iliositishwa ni ya Udaktari wa binadamu.Kikubwa katka hio ilikua ni ushauri wa Mhe Rais,kwa nn tuwe na MD udsm wakati MUHAS ipo na tena inaendelea na ujenzi wa Chuo kikubwa kabisa...
Jamaa muongo kweli wewe,nahisi utakua AMO.Mambo ya kutoheshimu MDs ndio mnakuja kutusumbua makazini na viAMO vyenu.Content ya MD huwezi linganisha na vitu vya voda fasta hata siku moja.
Njia ya pili na rahisi,atumie alternative qualifications kwa kwenda kusoma BS majoring in Physics/Chemistry/Biology/Zoology then baada ya iyo miaka 3 aapply MD kama atakua bado na passion na Medicine..
Mpe pole lakini mtie moyo that there is always an open door to success.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.