Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 610
- 397
ndalichako hayuko fair hata kidogo hizo gpa ya 3 wakao pata wengi ni business na social studies
Ni kweli kuna wadau wangu wengi wana GPA ya 2.9 wamehitimu Mechanical engineering
ndalichako hayuko fair hata kidogo hizo gpa ya 3 wakao pata wengi ni business na social studies
Kumbuka sio lazima asome MD Tanzania..
Sogea Uganda au Kenya utarudi na gamba lako safii kabisaa
GPA ya 3.5 kwa clinical medicine ni ukomoaji tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza, hivi kwa diploma ya medicine maximum GPA ni 4 au 5 (kama vyuo vikuu)?
Sent using Jamii Forums mobile app
We geneus mkuu huyu ni middle learner kwaio hufaulu na kufeli pia imo
Diploma GPA ya mwisho ni 5.0Naomba kuuliza, hivi kwa diploma ya medicine maximum GPA ni 4 au 5 (kama vyuo vikuu)?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kuna mwanangu mmoja amepata gpa ya 2.9 ya clinical medicine amechanganyikiwa na ameshalia sana ushauri wenu jaman spate mwanga ajue cha kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
mwambie kuna maisha mengine kwenye AMO na anaweza kuspecialize kama MD anavyospecialize akimaliza kusoma AMO ..issue ya sijui AMO haitambuliwi kimataifa isimuumize kichwa. kimataifa sio deal sana tukomae hapa hapa Kwa Nyerere
Kabla hajafanya maamuzi mwambie afanye verification nacte ili ajue ana GPA ya ngapi kutoka nacte maana GPA ya chuo na nacte zinatofautiana anaweza kuta imeongezeka kwa hadi 3.1 hadi 3.3Wakuu kuna mwanangu mmoja amepata gpa ya 2.9 ya clinical medicine amechanganyikiwa na ameshalia sana ushauri wenu jaman spate mwanga ajue cha kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu from what I 'hv been observing ni kwamba most of the MDs wamekuwa wakifanya internship huku hospitali za mikoani za misheni ambapo experts ni wakongwe Amos na ni majembe kweli kweli kwa surgeries na matibabu ya kawaida na ukiangalia mda wa kusoma amo alitake 3 yrz diploma na 2yearz za amo istoshe practise wodin uanza first year ya diploma lakin MD hadi afike 4th year na ndo mana hutakaa uskie internship ya amo ,,, sasa sielew kwann kumdharu amo kumuita VODA fasta wakat what MDS does the same to AMOS ,,,,ukitaka thibitisha ili njoo mikoani ujionee they r saving life of our peopleJamaa muongo kweli wewe,nahisi utakua AMO.Mambo ya kutoheshimu MDs ndio mnakuja kutusumbua makazini na viAMO vyenu.Content ya MD huwezi linganisha na vitu vya voda fasta hata siku moja.
Ni kweli kwa practical AMO ni bora sana kuliko MD bt tukienda kwenye reasoning AMO hakuna school kichwaniMkuu from what I 'hv been observing ni kwamba most of the MDs wamekuwa wakifanya internship huku hospitali za mikoani za misheni ambapo experts ni wakongwe Amos na ni majembe kweli kweli kwa surgeries na matibabu ya kawaida na ukiangalia mda wa kusoma amo alitake 3 yrz diploma na 2yearz za amo istoshe practise wodin uanza first year ya diploma lakin MD hadi afike 4th year na ndo mana hutakaa uskie internship ya amo ,,, sasa sielew kwann kumdharu amo kumuita VODA fasta wakat what MDS does the same to AMOS ,,,,ukitaka thibitisha ili njoo mikoani ujionee they r saving life of our people
Anachoogopa ni kipi,kama elimu kaipata na ujuzi vinatosha. Apambane na G.P.A sio kila kitu.Wakuu kuna mwanangu mmoja amepata gpa ya 2.9 ya clinical medicine amechanganyikiwa na ameshalia sana ushauri wenu jaman spate mwanga ajue cha kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
naona kama wameshalegeza imerudi 3.0Duh 3.5 sio ya mchezo mchezo upande wa Afya na uhandisi