Jioni nimepita zaidi ya vituo vitatu vya kuuzia mafuta mitaa ya kigamboni wanasema hakuna mafuta.Naweza kupata mafuta mtaa kwa huku kigamboni.
Msaada please
Hili jambo la kujichukulia sheria mkononi lisipokemewa tutafika pabaya.Wizi ni mbaya,ila mtuhumiwa kuchukuliwa tena kwenye ofisi ya mtaa na kwenda kuuawa.Kuna watu wanapaswa kuchukuliwa hatua.
Sent from my SM-M325F using JamiiForums mobile app
Imepita zaidi ya wiki ndio inakuja habari ya kubakwa.Alipohojiwa baada ya kupatikana hakueleza haya hadi aeleze kwenye vyombo vya habari?.Maswali ni mengi sana kuliko majibu.Inapaswa kuwa na chombo huru cha kuchunguza na kupata ukweli.Kuliko jamii kubaki kwenye ombwe hili.
Sent from my SM-M325F...
Nafikiri ni wakati wananchi wote kutozwa kodi.Ingekuwa busara na wale wa mjengoni wakatwe kodi na kuchangia kwenye mifuko ya mafao.Hapo kila mmoja wetu angejua maumivu ya kulipa kodi.Hivyo kila mtu angehakikisha hakuna hata kodi itakayotumika tofauti na mipango tuliyojiwekea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.