Nikiwa chuo X waliopita Diploma walikuwa na Tania za kututenga tenga na kudharau kiss wamepita Diploma kwa kozi tusomayo Degree .Ilipita Disco ziliwafagia mpaka kujienga wakaacha.
Uzoefu wangu kazini wengi Wa Diploma ni wajingajinga na kujionaona bora use cheti au degree ndo unakuwa na adabu...
Siri kubwa nyingine.Kutosaheme mfano Fulani ameniudhi namchukia mpaka kufa,hapa lazima pepo likuvamie(Ukishindwa kusamehe Massa 12 unafungua mlango Wa mapepo)
Wanatabia kuuuliza ulichosomea kama maswali ya gafla mafano tell ud about hr kama ulisomea hr
Function of microfinance.
Pitia Tv za kingereza uongeze msaiati
Jiamini na usikae mbele
Amka funga omba.Mungu amekutumia uchukue maamuzi.Ukiaach kubebe huo mzigo wa maomi maana yake umepuuza sauti ya MUNGU.hii kitu imewahi nitokea nashukuru MUNGU katika kumuomba aliepusha ilikuwa ajali badala kuwa mauti ikawa ajali ya kawaida mno
Achana na nawasiliano kazii ni nyingi mno hasa mwezi wa kwanza utakimbia wewe.Toka kwenu sogea mwezi wa kwanza but hasira acha kwenu.Ukiona huwezi acha kwenu viwandani huwezi
Tumesikia hasira hutufunza muda mwingine kuzira hasa ukigundua kuna pesa imeibwa hakika huwa tunazira hasa hat miezi kadhaa.Tusaidiane hapa kujumuisha.
KABLA YA NDOA(kabla ya janga)
-Mwanamke awe na kitu cha kuchangia katika ndoa
PART A KABLA YA NDOA
1.Mwanaume awe na cha kuchangia katika ndoa
2.Mwanamke awe na cha kuchangia ndani ya ndoa
3.Mafunzo ya ndoa iwe miezi miwili kisheria kwa wote
4.Kama hamna cha kuchangia ktk ndoa ndoa isiwepo mean...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.