Recent content by Mchopah

  1. Mchopah

    Management ya pharmacy council imeoza

    Maombi yangu kwa waziri wa afya au naibu wake, ebu mulikeni na pale kwenye board ya pharmacy kwani haipo sawa kabisa katika ufanis wa kufanya kazi, kuna wafamasia wapya wamefanya registration muda mrefu umepita lakini mpaka leo hawajapata certificates zao hivyo inawapelekea kuwa jobless huko...
  2. Mchopah

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    Vyeti vyangu vimesainiwa na huyo mama, hopefully yuko poa
  3. Mchopah

    Suala la MCC kutunyima pesa za msaada lisichukuliwe kisiasa

    Na ifike mwisho na tuseme misaada basi, mbona chama cha Republican wanataka kumpitisha mgombea ambae hapendi waislam. Watoke zao huko
  4. Mchopah

    Fedha za MCC tunazihitaji, masharti yanatekelezeka

    Misaada hadi lini? ,kwa mgogoro wa Zanzibar ni picha mbaya kwa democracy yetu, lakn tusipende sana misaada Bali inabid tuwe makini kuzalisha vyetu na kusimamia kwa makini tutasonga mbele tu, huku kupenda misaada madhara yake wanataka tuwe mashoga sasa
  5. Mchopah

    Fedha za MCC tunazihitaji, masharti yanatekelezeka

    Kwann tunapenda misaada
  6. Mchopah

    Rais Magufuli: Kwa mara ya kwanza Serikali itakusanya takribani trilioni 1.3 kwa mwezi

    Amekubagua nn?!,au una jipu limeiva ajakutumbua kwahyo unawaonea wivu wenzio waliotumbuliwa!?
  7. Mchopah

    Ghafla Waziri wa Mambo ya ndani kafika kituo cha Polisi Msimbazi

    Waandishi hawajaitwa wakitaka wasiende tu
  8. Mchopah

    Mbowe: Hatutapinga kila jambo, Rais Magufuli anafungwa mikono na Kamati Kuu ya CCM

    Utapingaje uteuzi wa mwakyembe na prof. Muhongo kwa sababu ya madudud ya ufisadi wakati umemkumbatia lowasa ambae pia ni jipu tu
  9. Mchopah

    Waziri Mkuu aitisha kikao cha Mawaziri

    Kwani hizi taarfa humu jamii forum kaleta waziri mkuu au watu wengine na mihemko yao,kwahyo media zisiruhisiwe kwenye matukio ya serikali sio,wakizuiwa mtasema wanaonewa,so whaaat!@
  10. Mchopah

    Hongera Nape kwa kuwasikiliza wana UDSM

    Nape mnamchukulia tofaut, yale yalikua maneno ya campaign tu,actually alkua hampend lowasa
  11. Mchopah

    Prof. Lipumba na Lissu wakosoa uteuzi wa Prof. Muhongo

    Ile kesi ya ICJ nasubir majibu yake mpaka leo
  12. Mchopah

    Prof. Lipumba na Lissu wakosoa uteuzi wa Prof. Muhongo

    Kwangu mm sijaona shida iko wapi,nasubir utendaji wao ndio nitoe kasoro,wakitatua kero za huku kitaa poa tu. Alafu huyo mnayemwita tundulisu atulie kabisa kama ananyolewa vile hana jipya,coz alituaminisha lowasa ni fisad wa kutupwa alafu akaja kumpokea na kua mgombea urais. Kwangu mm lisu hana...
  13. Mchopah

    Baraza jipya la Mawaziri: Tanzania Mpya tuliyoitegemea imeanza kuyeyuka..!

    Kwahyo ulitaka mawazir hawatoe wapi mbinguni au?!,au msela wako kakosa nafasi nn,mfyuuuuu
  14. Mchopah

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Ww ata magufuli ulikua haumpendi utawapendaje mawazir
  15. Mchopah

    Ukamuaji wa Majipu umeleta Hali Mbaya Mtaani. Fedha hakuna

    Struggle for existence
Back
Top Bottom