Kijana Nape ni mwenye hekima ya juu sana. Yaani majibu aliyowapatia vijana pale UDSM ni ya kuheshimiwa na yenye busara sana.
Hongera kwa lipi haswa? hizi Hongera zisizo na Mipango siku akinywa Maji utampa hongera pia waacheni watu wafanye kazi ni wajibu wao.... na kama hawawezi hakuna wa kuwalea Uongozi ni Wito...Kijana Nape ni mwenye hekima ya juu sana. Yaani majibu aliyowapatia vijana pale UDSM ni ya kuheshimiwa na yenye busara sana.