Pole dogo.!ulifanya kosa kukaa kimya ila imesha tokea huna budi kutafuta suruhuu.aah..!umesema unafanya kazi kampuni moja,yaani rafiki yako,mke wake na wewe si ndio?ushauri wangu .“NENDA KWA MTU WAMAKAMO AMBAE YEYE ANA MUHESHIMU MUELEZEE KWA UKWELI NA UWAZI,KISHA AMUITE RAFIKI YAKO NA MKE WAKE...
Pole sana kaka..!kiukweli maradhi hayo yakimpata mtu aisee tena wa mama tena ziwa Bro!sikukatishi tamaa wala kukuvunja moyo juu mkeo.
NAKUPA USHUHUDA WA KWELI.
Dada angu alikua na na tatizo hilo na tulipita hatua hizo zote pale onceanroad,tulipambana vya kutosha rkn wapi hatima dadaangu amefari...
Habari members wote,
Kila mtu anaitaji mafanikio katika maisha yake. Ili kufanikiwa lazima upange na kuchagua, na kuchagua ni maamzi ya kila mmoja wetu. Uchague kufanikiwa au kutofanikiwa, kwa kutozingatia mambo haya muhimu;
1. Mungu
2. Uwaminifu
3. Muda
Mungu - Bila Mungu hakuna chochote...
Kabla ya kumchapa mtoto waka kisa kula kwa jirani,jiulize kwanza maswali yafuatayo.
1-chakula kinapikwa kwa wakati apo kwako?
2-chakula kinachopikwa kwako je mtoto anakifurahia?
3-mazingira,kwa maana ya usafi,care,ubunifu vipo?
Ukijua hayo utajua jinsi gani uwendeshe biashara yako.
La mwisho...
Ni tatizo kubwa mno ktk jamii yetu sisemi waswahili,au afrika.tanzania amboko tupo.kubwa nionalo ni KUKOSA MALENGO.
ktk maisha ukikosa malengo kamwe mda kwako sio tatizo.mwenye malengo hapotezi mda.kira kitu atafanya kwa time sahihi,wakati sahihi na kwa usahihi zaidi icho akifanyacho.muda ni...
Mjinga wewe! Bado upo ktk Karne ya giza. Mpaka Leo unaongea upuuzi huo eti hakuna mungu?? Hujiulizi ukiwa UMELALA!! Viungo vyote havifanyi kazi ispokua moyo! Je unajua SIRI YA TUKIO HILO?
Lofaa sana
hakuna kanuni yoyote uliosoma shule ikamafanya kazi mtaani.elimu hukuongea wewe ufaham wa mambo mbalimbali Katika kujitambua na kujisimamia zaidi.WEKA VYETI CHINI KAPIGE KAZI.
Iko poa sana,kama utazingatia na kufata yafuatayo.
Usafi
Chakula kizuri
Wahudumu wenye nidhamu na ukalimu.
Ubunifu wa vyakulala
Uduma kupatikana kwa uwakika
Nk.
Sent from my F-02H using JamiiForums mobile app
Mkuu safari ilikua kubwa sana.
Chakwanza,niliigawa Ile pesa mafungu matatu.
(1)50000 nilinunua chakula cha nyumbani.
(2)150000.nikampa wife aanze kufanya biashara ndogondogo pale home.anapika chapati asbh.na jion ana China chips mchwara.
(3)50000 nikanunua kuku 5majike.
Iliyo Baki mkuu ndo...
Hakuna rafiki wa karibu.ni mtu tulikutana ktk michezo week end siku ya jpili.basi akanipa hilo dili,alikua anataka gari nikawa mtu WA kati.baada ya biashara kufanyika nikapata 1, 350,000ikawa sababu.rafika zangu wapo ila naisha nao kwa akili,wengine hatuna mawasiliano kabisa.mishe zangu ziko poa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.