Recent content by Mchome Sevury

  1. Mchome Sevury

    JamiiForums Tanzania Kwanini mwanaume huwa mkali sana kwa mwanamke anayempenda?

    Ni kwanini mwanaume huwa mkali Sana kwa mwanamke anayempenda sana Kama vile mke au mchumba lakini huwa soft kwa wanawake wengine Kama kamchepuko ama rafki yake wa kike?
  2. Mchome Sevury

    JamiiForums Tanzania Ukiona dalili hizi kwa mgonjwa wako,jua ana aga dunia.

    Basi Cha msingi usimpe izo soda na pilau ili asife.
  3. Mchome Sevury

    JamiiForums Tanzania Niliacha chuo ili nifanye biashara, sasa mtaji umekatika sijui nifanye nini?

    [emoji3][emoji3][emoji3] Daaah kweli uko Ni kupishana na baraka kaka
  4. Mchome Sevury

    JamiiForums Tanzania Je Allison angeweza kubadili matokeo ya game ya jana?

    Kwa kuangalia Ile mechi je unaongeleaje uwepo wa Allison Jana?
  5. Mchome Sevury

    JamiiForums Tanzania Ufaulu Ni tabia he mnakubaliana na hilo??

    Jana mechi ya Liverpool na Chelsea ya finali ya Super Cup. Chelsea alipiga mpira mzuri Sana hata baada ya kusawazisha goli la pili. Lakini kilichotokea mabigwa walishinda game. Vivyo hivyo finali ya UEFA dhidi ya Totternham. Liverpool haikuonesha mchezo mzuri Kama ule wa nusu finali. Tusubiri...
  6. Mchome Sevury

    JamiiForums Tanzania Ukimkopesha mwanamke pesa ni asilimia ngapi za kurudishiwa??

    Hesabia maumivu Bro...naona comment ndefu kwa swali lenye jibu tayari. Ila Cha msingi ungeendelea kumtafuta upotezee ishu ya pesa uendeleze mapenzi Yale mlioanza wiki ya kwanza. Atleast pia kula shoo ya maana mkuu. Ila Cha muhimu uendeleze mapenzi atajielewa na pia atajishtukia mbona haniulizi...
Back
Top Bottom