Recent content by mchokozi mpende

  1. mchokozi mpende

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Jamani TANESCO kuna shida gani huku Chamaazi kwa mapunda kila siku for almost a month mnakata umeme mama 6 Mara usiku hatuna umeme na hata Sasa naandika hapa hatuna umeme na hamsemi shida ni nn ...no notes mnakata Mara ghafla unarudi tena ...semeni shida ni nn na kwann ni hapa tu kwa mapunda
  2. mchokozi mpende

    Kosa la Esau wa kwenye Biblia ni lipi?

    Mungu alitaka ujufunze kwamba humbariki mwanadamu toka hajazaliwa alitaka tujue kwamba Ana nguvu hivyo uwezo wake na afanyalo wewe huwez kuquestion Sawa tu na kusema kwann Mungu kakuumba mfupi mwingine mrefu ni Kundra na rehema zake kumuumba mlemavu ama asiemlemavu...Mungu anataka tujue Hilo...
  3. mchokozi mpende

    Chips nyama 8000 Singida Hotelini

    Nimepita hapo pia asee ule ni wizi yaani tuchips tubaya tudogo nyama sijui kama ni za Panya zile hapana
  4. mchokozi mpende

    Nimepigwa na kitu kizito

    Nilichokiona leo kwenye salary increment...mama kanipiga na chuma zito hakika nyongeza 10
  5. mchokozi mpende

    15% Majeruhi wa ajali wanaotibiwa Muhimbili hawana bima, huuza mali zao ili kujitibia

    Bima za Tanzania hawatoi ile hela mpaka mgonjwa apone aaindikiwe medical report na Daktari juu ya matibabu yake ndipo walipe....wakati case ya msingi hapa ni mgonjwa kulata matibabu muda huo...process ya hela za bima huchukua mpaka miaka miwili ama mitatu....ama mmoja itategemeana na recovery ya...
  6. mchokozi mpende

    Kama ibilisi alishindikana huko mbinguni ndo akatupwa huku Duniani basi binadamu tumeonewa maana hatumuwezi

    Amina kaka I real second u...Mungu sio dictator hajataka sisi tulazimike kufanya mambo fulani ametaka tuwe na wide choice ...na katika hio wide choice katoa angalizo ..katupa matokeo...kwamba mshahara wa dhambi ni mauti....kumquat shetan ni mauti...maana si nineona hapa watu wanajaribu...
  7. mchokozi mpende

    Kulewa kwa kupitiliza kunataka kumfanya Baba yangu atake kustaafu mapema

    Nimeumia mno mno najua ni wakati mgumu kama familia mnapitia ...umeshatajaa kusali msikate tamaa ongezeni kusali na kufunga kwaajili yake nahisi kama ni kitu kinajirudia kama ulivosema...secondly mzee anaweza anzishwa clinic za AA hapa Muhimbili zipo kama utakua radhi kumuanzisha let me know...
  8. mchokozi mpende

    TANZIA My dad is gone

    Pole mnono mno
  9. mchokozi mpende

    Je, nimekosea kuwapotezea baadhi ya ndugu zangu? Naomba ushauri tafadhali

    Nina ndugu wa hivi kaka ....nimewasukumizia mbalia maili mi saba so kidogo...they have to learn from their mistake ...wafundishe tena una huruma huyo dingilai ningekua mimi nisingemtesa ila ninachompa ningefanya kila nikimpa akumbuke mateso aliyompa mama na sisi
  10. mchokozi mpende

    Hivi huyu Mkurugenzi aliyenunua gari la milioni 400 anajiamini nini?

    Kwani ni yeye tu anaetembelea v8 FYI halmashauri nyingi wanatumia hayo magari ...pili umasikini wa wa Watanzania sio kwasababu ya kununua V8 nafikiri sisi ndo hatumtendei haki ...i love the confidence he has
  11. mchokozi mpende

    Hivi huyu Mkurugenzi aliyenunua gari la milioni 400 anajiamini nini?

    Hivi ni vibaya mtu kujiamini ...kama kafuata utaratibu na specification za gari nazo kafuata kwann aogope...thats hilarious
  12. mchokozi mpende

    Nahisi kama nimefikia hatua ya Kukata Tamaa kiwango cha Mwisho. Naomba msaada wenu Ndugu zanguni

    Kaka pole mno ...Ushindi wako ukaribu mno..huna haja ya kukata tamaa...ninaamin Mungu ana jambo jema kwako usipokata tamaa...nimepitia haya pia mpaka leo sina ndoa japo nimerudi na maisha mazuri sio kama xaman nilijifunza kutokata tamaa...inapotokea chochote juu ya kazi tutashtuana basing on...
  13. mchokozi mpende

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Jamani tanesco toka jana saa nane umeme umekatika hapa maeneo ya Tabata dampo nini shida
Back
Top Bottom