Sasa alianza na kusema kuna majangili wakubwa anawafahamu mmoja ni mfanyabiashara saizi kaja na hii ua uonevu kwa kweli taifa linaelekea kubaya under this guy
Ninyi wenye maneno ya chooni mnaomwita Dr. Slaa kibabu acheni ujinga hata kama humpendi muwe mnajadili hoja na sio kumkashifu mtu....na mnaosema mzinzi nyie ni kina nani katika mahisiano ya ndoa ya Dr. Slaa??ndoa zenu zinawashinda mnakuwa wa kwanza kumjadili mtu.
Imekuwa ni kawaida ya viongozi wetu hasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kueneza propaganda kwa watanzania kuwahusisha wapinzani hususan CHADEMA kuwa ni chama cha watu wa kaskazini na chama cha Kikristo!!tena wanaoongea ni viongozi wa chama wakubwa kabisa kama NAPE NNAUYE,SOPHIA SIMBA,WILSON MUKAMA...
Nimeshirika siasa za mbeya nikiwa katibu wa muda wa baraza la vijana wa CHADEMA,kwa watu wenye misimamo ya kipekee kama nilivyosimama mimi pale kwa kipindi kile shitambala anahama chadema na eddo makata mwamalala tulishamtilia shaka...mimi mwenyewe nilifuatwa na baadhi ya viongozi wa ccm...
hahahahaha JESHINI KUNA UZALENDO AU NIDHAMU ZA WOGAA??MAFISADI WA LEO NANI HAJAPITIA HUKO JESHINI,WEZI WOTE WANAOLIIBIA TAIFA HILI HAWAJAPITIA JESHINI?..YEYE KOMBA ANAUZALENDO GANI KWA TANZANIA?WANANCHI WAKE WANAKUFA HUKO YEYE ANAKALIA KUIMBA KYAYA AFU LEO ANAJIFANYA MZALENDO??TUMBO LIMEMZIDI...
Hivi ngurue huwa wanachinja waislam?mbona hawa jamaa akili ndogo sana,yaan mibaba mizima eti unaenda kuingilia watu kuchinja?upuuzi huu na haya yote ni matokeo ya serikali ya jakaya kikwete.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.