Hata hivyo kwa ujumla wilaya ya UBUNGO imepunjwa. Wangejumusha angalau sehemu ya barabara Ya MBEZI hadi MPIGI MAGOE ili baadae iunganishwe na ya Bagamoyo.
Inaelekea hujui kuwa kabla ya CCM kulikuwa na TANU na ASP ? Apumzike kwa amani Mzee Nyoni. Kila nikikumbuka viongozi wa awamu ya kwanza huwa naguswa sana na uzalendo na uadilifu wao na walivyokuwa wakiitwa NDUGU.
Mleta uzi ameelezea vyema. Kiuhakika huu mradi ungeweza kuboresha maisha ya watu si wa DSM tu bali Tanzania nzima. Mafanikio yake yangeweza kusambaza ustaarabu si ktk mifumo ya usafiri tu bali hata tabia na uendeshaji wa maisha yetu ya kila siku. Tumepoteza fursa hii ya kutujengea ustaarabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.