Your comment is a shock. In police administrative perspective hata Yombo inaweza kugawanywa kiutawala ikawa mkoa wa kipolisi, Mkoa wa kikodi kwa TRA, TANESCO e.t c ..
Au ulikuwa unatania mkuu
Social media zimechangia pakubwa.!
Kuna baadhi Wana ujasiri wa kupost na kujipiga picha mostly doctored (edited) wakijionesha wamebeba mabulungutu ya hela, wako mbel6ya ma Mansions na ma super car, Sasa Kwa wenzangu na mie tunaopambania ajira rasmi ili kuokoa familia na ukoo tunapata...
Sio TRA ni Bunge ndio linapitisha hizi Kodi. Wakiamua kuzipunguza ili wengi waagize magari na kulipa Kodi kwa wingi inawezekana pia, Ila ndio hivyo tena
Habari Wana JF na WATANZANIA kwa ujumla.
It has come to my ATTENTION kwa kauzoefu kadogo nilikonako hapa JF, Nime experience kwamba NYUZI zenye mielekeo ya Imani Fulani (Islam or Christianity) ndio NYUZI zinazochangiwa kwa hisia KALI na CHUKI dhidi ya imani nyingine waziwazi , thanks to JF...
Be MATURED hata kidogo please. Hata kama ni kutafuta comments SIO hivi.
ALIULIZWA HIVI:Ili Sherehe iwe nzuri inahitaji budget kiasi gani??
Ndio akasema kama sherehe itakuwa angalau na watu 200 inahitaji total cost ya Sherehe iwe 30M kwa maana ya ku cover kila KITU. Na akalezea venue set up...
Nilisajili namba ya Tigo mara ya Kwanza kuja Dar 2007. Kijijini kwetu ilikuwa ni Airtel tuu kwa kuwa ndio walikuwa wa Kwanza kuwasha mnara. But since then mimi ni mwana Tigo (Live it, Love it) for past 14 years till now na SIJAJUTA.
There SHOULD BE A BALANCE OF POWER between PILLARS, not ONE of them FEELING is SUPERIOR than the others. EACH PILLER MUST STAND FOR WHAT IT FEEL BIS OKAY and after that feel SAFE and NOT without fear or INTIMIDATION of (KUBAMBIKIWA KESI, KUFILISIWA, KUTWEKWA, KUTENGULIWA BILA SABABU there...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.