Recent content by Mchelsea

  1. M

    Ukiona mumeo / mkeo hataki kabisa asali iishe ndani, ana maana kubwa sana…

    Mi nafikir alitaka kumaanisha asali nyngne hahaha
  2. M

    Naomba kujua kuhusu mkoa wa Njombe

    Kuna kpnd kulikuwa na basi la Mwanza - Njombe kampun Ya Isamilo km sikosei. Fika nyegez ulizia km bdo lipo hilo bus
  3. M

    JIJINI DODOMA : Viwanja vya kula bata na 'totozi' ni balaa…

    Mambo matamu siku zote hupatikana sehem nzur, Dodoma pazur siku hz.
  4. M

    Kwanini Afrika wazazi hawatumii jina Yesu kumuita mtoto?

    Kuna jamaa mmoja kijijin kwetu alitaka kubatizwa kwa jina la Yesu, katekista alikataa kumsajili akamwambia achague jina jingne jamaa akagairi kubatizwa, bahat mbaya saiv jamaa ni marehemu
  5. M

    Wakuu hii sio Photoshop, ni kweli imetokea,ebu kwanza tusikitike jamani

    Ramos aliharibu ladha ya final sitak hata kukumbuka mie
  6. M

    Misalaba wavaayo watu maarufu akina Diamond, Masanja na wengineo

    Its all about urembo nothing else
  7. M

    Happy birthday hazard cfc

    Hbd to him the only one for you
  8. M

    Swali kwa wanaomfahamu Msukuma MP

    Sidhan km anao huo muda
Back
Top Bottom