Kizuio
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 845
- 521
Wakuu habari ya muda huu,
Moja kwa moja niende kwenye mada
Wanawake zetu tulio nao au wasichana tulionao katika jamii zetu hivi sasa sehemu yao bora ya kujiona wamekamilika ni makalio waliyonayo hata kama kakalio ni kadogo atatafuta kanguo katakachofanya kamsambwanda kake kaonekane.
Sijawahi kuona wakiringishia nyuso zao, matiti yao wala hata matumbo yao bali ni hicho tu.
Hata ukienda naye guest cha kwanza kukuonyesha ni msambwanda wake kawe kadogo vipi atajitahidi kukaonyesha tu kwako.
Kwa nini wamekuwa wakiringishia makalio yao kuliko vyote vilivyopo kwenye miili yao?
Moja kwa moja niende kwenye mada
Wanawake zetu tulio nao au wasichana tulionao katika jamii zetu hivi sasa sehemu yao bora ya kujiona wamekamilika ni makalio waliyonayo hata kama kakalio ni kadogo atatafuta kanguo katakachofanya kamsambwanda kake kaonekane.
Sijawahi kuona wakiringishia nyuso zao, matiti yao wala hata matumbo yao bali ni hicho tu.
Hata ukienda naye guest cha kwanza kukuonyesha ni msambwanda wake kawe kadogo vipi atajitahidi kukaonyesha tu kwako.
Kwa nini wamekuwa wakiringishia makalio yao kuliko vyote vilivyopo kwenye miili yao?