Habarini za saa hizi. Nimeistall YTD kwenye computer flan yenye window xp spack2,cha ajabu ni kwamba haiwezi kudowload inaandika fail. Lkn me ndio na tumia kwenye machine yangu yenye win 7 ultimate. Tatizo nn. Msaada tafadhali.
dah! Jamaa angu nahc ujanielewa hiyo concept yangu. Nikwamba kutongoza naweza but i dont have a good conculution, thats over. Sasa kwann nisimshauri katika part hiyo.
Naombeni mchango wenu wana jf ili niweze msaidia huyu rafiki yangu. Anaitwa jane ni rafk yangu yapata miezi 5. Lakini juzi amenistajabisha aliponipa habari hii ya kusisimua, "mama yangu anamtaka mchumba wangu". Nilistuka sana kusikia hivyo. lakini nilijaribu kumuuliza yeye anaushaidi gani kuhusu...
Mwanangu piga window mpya ndio solution ya tatizo lako. Otherwise piga blower machine yako huenda fan ya kwnye processor imeingia vumbi. Kwa hiyo aizunguki ipasavyo, prcssor inapata heat xana wakat wa kuprocess data. So ndio maana inazimaga.
Daah! Kuna wengine nahic wameanz nifkiria vibaya, naomba niseme hiv. "ku DO naweza, tena naweza vizuri 2" ze problem is SIWEZI KUMUHADLE MTU NILIYEMTONGOZA. Hicho Ndicho nilichokuwa na maanisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.