Recent content by mchawi wa kusini

  1. mchawi wa kusini

    Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

    Umeongea vizuri mno sema ndio karibu mtwara.
  2. mchawi wa kusini

    Pale binti anapoyachezea maisha na kuja kujuta mwishoni

    Mwanamke yeyote hili andiko anasoma Kwa uchungu Mkubwa Sana.
  3. mchawi wa kusini

    Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

    Waoewe vijana sasa hawa wengine wapumzike
  4. mchawi wa kusini

    Ushauri: Wake zenu wanapokuja hospitali mje nao, hali ni mbaya mtalea watoto ambao sio wenu

    Unaonekana na wewe miongoni mwao unaokula wake zetu na sisi mkewako tunamla huku,usione udhaifu Kwa wengine hata sisi mtaani tunaona mkewako anajirahisisha sana.
  5. mchawi wa kusini

    Makonda uadilifu ameanza lini?

    Binafsi unapomzungumzia makonda kwa mabaya huwaga simalizi uzi kuoma, makonda hana shida shida ipo kwa sisi masikini wenye roho mbaya na wivu wa mtu akipata.
  6. mchawi wa kusini

    Kibu kuisumbua Simba, Taswira mbaya kwa timu

    Huyu kibu ana element za kikongo mkongo swala la pesa huwa anapagawa sana.
  7. mchawi wa kusini

    Uongozi wa Simba SC huyu Onana tunambakiza wa nini?

    Onana mpe muda utakuja kunishukuru baadae huyo ni fundi sana sema ubishoo mwingi wa CR7 ndio unamuharibu,mpe muda
  8. mchawi wa kusini

    Hawa nao wamezidi sasa nikisikia wamekuwa Maiti kwa Kuwachosha Polisi naweza kuwaelewa na hata kuwaunga mkono Polisi wao

    Kenya wengi wamesoma alafu kusoma kwao huwa sio waajiliwe serikali hapana wanajiajiri wenyewe kikubwa kuwaombea hivi vitu visiambukize nchi za jiraini.maana binadamu aanapochoka afadhari ya mnyama atakimbia kuliko binadamu anakuwa zaidi ya mnyama.
  9. mchawi wa kusini

    Gen Z wabisha hodi Uganda

    Kuwaombea tu wasifike huko binadamu wakichafukwa na roho huwa hawaelewi
  10. mchawi wa kusini

    Kweli Biden kazeeka, amwita Zelensky President Putin!

    Anaugonjwa wa kupoteza kumbukumbu
Back
Top Bottom