Unaonekana na wewe miongoni mwao unaokula wake zetu na sisi mkewako tunamla huku,usione udhaifu Kwa wengine hata sisi mtaani tunaona mkewako anajirahisisha sana.
Binafsi unapomzungumzia makonda kwa mabaya huwaga simalizi uzi kuoma, makonda hana shida shida ipo kwa sisi masikini wenye roho mbaya na wivu wa mtu akipata.
Kenya wengi wamesoma alafu kusoma kwao huwa sio waajiliwe serikali hapana wanajiajiri wenyewe kikubwa kuwaombea hivi vitu visiambukize nchi za jiraini.maana binadamu aanapochoka afadhari ya mnyama atakimbia kuliko binadamu anakuwa zaidi ya mnyama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.