Sehemu ya 04
Basi Nikaanza Harakati Rasmi za Kutafuta Sababu za kuwa Karibu na Binti yule mzuri Khadija… basi ikawa Kila asubuhi Lazima Niende kwao kumsalimia mdogo wake ambaye ni Rafiki yangu (wazazi WA pale hakuna ambaye alikuwa na wasiwasi na Mimi kutokana na status yangu mtaani na pia Kaka...
Kwa pesa yeyote ya kawaida kaka Unaweza Kufuga sema Nafasi ya Ukuaji ndio Haiwezi kuwa sawa na Mwenye mtaji mkubwa ndio maana Mashine za Kutotolesha vifaranga zipo za Kuanzia Mayai 30 mpaka 10,000...... Hiyo ni ishara kwamba unaweza Kuanza na Kidogo tuu ukiwa na Mpango mkakati mzuri na...
ATAKAYEHITAJI MASHINE ZA KILIMO NA UFUGAJI KAMA,.... INCUBATOR, TAA ZA JOTO, POWERTILLER, SPRAYER PUMP, WATER PUMP, BRUSH CUTTER NA VINGINE ......ATUCHEKI 0798812142
VIJANA WENZANGU: Hakuna Atakayekuja Kubadilisha Maisha Yetu Isipokuwa Sisi Wenyewe
Leo nimeamua kushare mawazo machache kwa kila kijana anayehangaika kutafuta maisha.
Ukweli ni kwamba wengi wetu tunasubiri muda mzuri, mtaji mkubwa au mtu wa kutushika mkono. Lakini muda mzuri hauji wenyewe...
HABARI ZENU JAMANI ......Tunaendelea na Mkasa wetu kaeni mkao WA kula Jamani......nilipata changamoto kidogo kazini nilifukuzwa..... But now kidogo nimetuliaaaa.... Tunaendelea.....Humu Kuna vitu vingi vya kufurahisha Na Kuelimisha Kaeni mjifunze kituuuu ......
😂😂😂😂 ngoja nikapige zangu nyetoo tuu huku natizama Comment zenuuuu😂😂😂..... Ila Maskini bwanaaa....kwahyo mnataka mpate pesa ili muwe mnaongea na Sisi au? 😂😂😂😂
Anyway..... Kama Huwezi kufanya mapenzi na nyoka SAHAU KUWA TAJIRIIIIIIIIII 😂😂😂😂
Kaka serious Leo Kazi NIMEFUKUZWA na sababu ni makosa ya kujirudia mara kwa mara lakini Najua sababu ni mkao ambao boss alinikuta nao nikiwa na mkewe ofisini..... Hizo zingine zikawa njia tuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.