ITS ALL ABOUT PERCEPTION...MOSTLY BASING ON PERSONAL SUPERIORITY AND INFERIORITY COMPLEXICITIES, AND all these comes mostly in lives coz of FINANCIAL STATUS
ndugu yangu ccm sio kwamba ndo wanaozuia watu kupata vitambulisho ,kumbuka wafanya kazi wa nida ni watanzania wenye kuamua kuifata itikadi ya chama chochote wakitakacho ,hivyo ninaona ni vyema kuilamu nida na uwajibikaji mbaya wanao utoa ka kusababisha zoezi kuwa gumu mana nahisi ccm haizii nida...
ndg usiongee kisa ushapata jarb kuwa unaangalia ni wangapi bado wana uhitaji na je ni kweli hawajapata sababu wahana uharahaka au ni mbadala ipi itumike ili kila mmoja apate ,think it out befor you comment
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.