Msaada: Nataka kuuza gari langu

Msaada: Nataka kuuza gari langu

kaka nahisi hujanielewa mi nmeomba msaada kwa anayejua ni wapi wanakopesha kwa kuweka bondi au mwenye kuhitaji gari nimuuzie moja kwa moja ,lakini mwenye kujua ni wapi au anahitaji huduma hiyo basi naomba ani inbox ndo tupeane details zote
Leo nimeona ugumu wa kazi zetu walimu
 
Halafu hayo matairi mbona 3 au ni bajaji ? Kuna jamaa hapa nyegezi ana 30 m
 
mtoa mada ni kama amepanic duuh shida hizi. pole ndugu hapo ni kutafuta makampuni ya mikopo ya haraka, kuuza gari inaweza kukuchelewesha kupata pesa.
 
mbona mgumu kuelewa ndgu nani aje in box kwa kitu kisichoeleweka unge weka picha yaani uandike tangazo lililo kamilika syo kama ulivyoandika
Hajui kitu ndo mana ameomba msaada, kama unaweza msaidie tu mkuu.
Nenda huko inbox muelekeze namna ya kuandaa tangazo na vipengele muhimu inatosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom