Recent content by Mchatm

  1. M

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Tunapokuwa akili tuzitumie vyema, zikitupungua yunaweza kufanya vitu vya ajabu sana duniani. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Daa Mungu yupo atanyoosha mapito tutajua tu sababu ya yote haya. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Wasomi wahoji uzalendo wa Lissu

    Swali, Uzalendo ni nini? Nataka kujua maana ya uzalendo ili niendelee kutoka kwa wadau. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    CHADEMA na wapinzani kwa ujumla someni alama za nyakati hii ni awamu ya kazi tu

    Usinitamkie, soma vizuri uelewe usipoelewa tafta msaada. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    CHADEMA na wapinzani kwa ujumla someni alama za nyakati hii ni awamu ya kazi tu

    Vivyo hivyo mwenye upungufu wa upeo huona kila kitu ni kizuri tu hata kama kina kasoro, kwa mfano chizi kula masalo dampo la uchafu wakati wewe ukiona kuwa ni uchafu yeye huona kuwa huna akili na umetupa chakula bora kabisa akikushukuru sana. Kwa hiyo siwez kukulaumu kwa kupungukiwa hilo ili mji...
  6. M

    CHADEMA na wapinzani kwa ujumla someni alama za nyakati hii ni awamu ya kazi tu

    We unazionaje vile? Kwani kuna mwanamke mbaya duniani? Kiherehere na macho na moyo wako tu ndio unatofautisha uzuri na ubaya wa kitu. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    CHADEMA na wapinzani kwa ujumla someni alama za nyakati hii ni awamu ya kazi tu

    Unataka tumuulize white hair wakati we mwenyewe upo humu si utuwekee mezani tuyaone, pia kwenye madini kafanya kipi kizuri au kupeleka mswada wa dharula bungeni ukapitiswa na green bila tafakuri pana na madhara yake mbele ya safari. Bado kwenye madini wanafanya issue za kipimbi tu, ni nyie tu...
  8. M

    CHADEMA na wapinzani kwa ujumla someni alama za nyakati hii ni awamu ya kazi tu

    Tunataka uyaweke hadharani yapi aliyafanya mpaka wapinzani wakae kimya? Km unatizamia kwenye necta huwezi jua kwa nini umechagua hilo jibu uliloweka na ukapata D ktk matokeo. Think bigger ucwe mchumia tumbo tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Mke kasaliti ndoa, nifanyeje?

    Sijawahi kumsaliti hata mara moja mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Mke kasaliti ndoa, nifanyeje?

    Huyo nilishamtafta na akakili kuwa hataendelea na hiyo kitu ila si unajua tena wakishaonja hawa? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Mke kasaliti ndoa, nifanyeje?

    Habari wadau, Nina mke na mtoto mmoja na hivi karibuni nimekamata mawasiliano yaliyoonesha kuwa wife ananisaliti na jamaa mmoja hivi nikafatilia vizuri ikawa ni kweli na alikwishatembea nae mara moja. Nikawa nimemuuliza kama anampenda sana tuachane aende zake wakaishi pamoja lakini akasema...
Back
Top Bottom