ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,286
- 19,463
Kuchapiwa ni siri ya ndani!! Kung'uta mavumbi, msamehe endeleeni na ndoa!!
mi naomba kuuliza ivi siku izi wanake wanaongoza kwa kusaliti ndoa? sababu haipiti siku hajaja mwanaume umu ndani kulalamika mke ananisaliti.Habari wadau
Nna mke na mtoto mmoja na hivi karibuni nimekamata mawasiliano yaliyoonesha kuwa wife ananisaliti na jamaa mmoja hivi nikafatilia vizuri ikawa ni kweli na alikwishatembea nae mara moja, nikawa nimemuuliza kama anampenda sana tuachane aende zake wakaishi pamoja lakini akasema kuwa alipitiwa tu na nimsamehe.
Hii sijamshirikisha mtu yeyote kwa familia zetu na nikawa nimemuangalia tu tunaendelea kuishi ila simuamini tena kama nilivyomuamini awali naomba ushauri kwenu wadau nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
jibu nzuri, kunywa soda nakuja kulipa.huo ni mgawanyo wa kazi, wewe ukinunua chupi wenzako watakusaidia kuvua, mambo ya ndoa peleka sehemu husika sio kuleta mtandaoni, jifunze kuwa gentleman
labda kitu kimoja hukitambuiKwann ukose amani kwa hayo yote utakuwa huishi kwa amani wakati ndoa ni furaha
Kama katoka nje basi fahamu ataiweje huyo hawezi kuwa muaminifu
Kwann ujipe stress awafuate anaowataka
Sijawahi kumsaliti hata mara moja mkuuHujawahi kumsaliti hata mara moja tangu uwenae? jifunze kusamehe hakuna mkamilifu duniani mpe nafasi nyengine ..
Hizi kesi mbona zimekuwa nyingi hivi?? Tatizo liko wapi?? Tamaa???



Ha ha ha ha ha, huu kweli msimu wa usaliti.Msimu wa usaliti kwenye ndoa![]()
Basi msamehe huyo ni binadamu na hakuna mkamilifu,jaribu kuchukua jema lake japo moja likusaidie kufuta hili baya,leo amekosea yeye kesho unaweza kukosea hata wewe mpe nafasi please..
kwahiyo maana yake itakuwa amezini na mke wa mtu huyuKwa sisi waislam Mtume Muhammad (S.A.W) alituambia kuwa "Ukizini na Mke/Mtoto/Dada/Mama/Shangazi/N.k wa mwezako jua na wako lazima aziniwe" naomba kukuuliza ndugu wewe hajawai kuzini kabla?